Recent content by kwamsangaze

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wale viongozi uchwara wanijibu: Farao alivyokufa wale wana wa Israeli Je, Walisikitika au walishangilia?

    Kutoka 15:1-19 [1]Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini. [2]BWANA ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wagombea wengi ni ishara ya nini?

    Nikiongezea kwa jibu la ndg. min -me sio ajira pekee bali pia ni sababu za kiuchumi na ubinafsi zinachangia. Tukiangalia orodha mbalimbali za watia nia wengine ni wafanyabiashara wakubwa sana hapa Tanzania, wengine ni maprofesa, wengine ni wastaafu serikalini, ubunge, Uspika wa Bunge, Uwaziri...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuvamiwa kwa dada wa Polepole, kumenikumbusha Historia ya kutekwa kwa kaka zake Kambona

    Babu yangu alitusimulia historia ya Vita vya Kwanza ya dunia mwaka 1914 hadi 1918. Alisema wakati wa vita kati ya Mjerumani na Mwiingereza, wanaume wote ambao walikuwa na umri wa kwenda vitani walikuwa mapema alfajiri wanatoka kwenda mafichoni maporini. Ikawa askari wa Kijerumani wakija kusaka...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Cde. Polepole, Kuna kitu Watanzania hawakielewi

    Ndugu P ukweli ni kwamba huwezi kupambana ndani ya mfumo kwa sababu boss wako ni Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usakama. Kukaa pembeni ndio unakuwa salama zaidi huku ukisaidiwa na kuwa karibu na Mungu ambaye atakupa ulinzi ambao mwanadamu hawezi kukudhuru.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mke wa Mdude(Sije): Mdude aachiwe huru au afikishwe Mahakamani

    Kwani yule mwanachama wa Chadema kule Handeni, Tanga ambae alikamatwa/ alitekwa na watu wasiyojulikana na mapolisi wakakataa kuwa siyo wao mbona baada ya kelele nyingi hao hao mapolisi wakaja kutoa taarifa kuwa walikuwa wanamshikilia au suala la Mo Dewji lilikuwaje akakutwa kwenye viwanja vya...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mnyukano mkali kati ya Zitto, Mwigulu na Profesa Tibaijuka kuhusu pendekezo la kutoza ushuru wa 10% kwenye mapato yaliyobaki (retained earnings)

    Nje ya mada. Sifa mojawapo ya kuwa mbunge kwa Tanzania ni kujua kusoma na kuandika. Kwa mjadala huu unaoendelea hapa Jamii Forum, kwa mbunge mwenye elimu ya darasa la Saba au Kidato cha nne au kidato cha sita ambaye hakusoma masomo ya biashara au mwalimu wa shule ya Msingi au Sekondari au kwa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Yesu wakati wa kusulubiwa alisema "Bado nina mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa"

    Maandiko kwenye biblia baadhi ya maandiko hayawezi kukupa jibu kwa kusoma mstari. Katika swali lako lipo kwenye mstari unaofuata,: Yohana 16:12-13 [12]Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. [13]Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza...
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Siku 30 za Mwisho za Bunge Hili, ni Muda wa Mwisho wa Kufanya Minimum Reforms ili Uchaguzi uwe Huru na wa Haki or Tufanye tu Illegal Elections?

    Pascal kwa andiko lako nimekukubali tofauti na baadhi ya maandiko yaliyotangulia. Hongera sana.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Je Serikali imewadanganya Watumishi Vikongwe Wastaafu Kuhusu Ongezeko la Pension na Hamna Kitu?

    Ongezeko limelipwa kuanzia mwezi Januari, 2025. Kama mzee wako hajapata ongezeko msaidie kufuatilia PSSSF na siyo bungeni.
  10. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA ya Lissu ijikite kwenye kuangazia kero za wananchi ipate uungwaji mkono dhidi ya CCM

    Unapoleta mada unatakiwa kujua mfumo wa utendaji katika huduma za jamii. Hayo mambo uliyoyaleta ni majukumu ya Serekali ambayo huwa inaandaa bajeti kila mwaka. Unaposema upinzani ujikite kujibu kero za wananchi watapata wapi rasilimali fedha na watu za kutekeleza na kuondoa hizo kero? Au kwa...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Gari mpya ya Billnass aina ya Defender yatikisa jiji la Dar Es Salaam mchana kweupe!

    !!kooo2ookoo?!!2okoook92kokk!l O9.ko.mo.ikz.!8.im9?.?9kkkw.s?9lkokmo??ok99999?o?9?9?om?.9??in Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  12. K

    JamiiForums Tanzania Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

    Maandiko Matakatifu (Biblia) inasema kama mtu anafanya uovu halafu usimwonye, mtu huyo akifa Mungu ataitaka damu yake mikononi mwa mtu huyo. Ezekieli 3:18 [18]Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na...
  13. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

    Mmh! Wale wanaowachangia fomu za ubunge au rais nao unaitaje?
  14. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kama kuna Taasisi inaongozwa na 'Mungu mtu' kama asemavyo Lissu basi ni CUF na CHADEMA

    Mhe. John. Vipi fomu ya mgombea urais wa chama tawala kuchapishwa moja, huo siyo uungu mtu? Kwani Katiba ya chama tawala huwa inasemaje? Je, inafuatwa?
  15. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Wana jamvi. Binafsi nilitarajia mleta mada ajikite kwenye vifaa vya ujenzi kama vile Nondo, Iron Flat Bars na Square Pipes ambavyo havikidhi vigezo vya urefu. Kwa mfano Nondo hazifiki futi 40. Au Iron Square pipes badala ya futi 20 viwandani wanatoa futi 16 nk. Vifaa ambavyo vinapelekwa sokoni...
Back
Top Bottom