Recent content by Kwameh

  1. K

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    JUDICIARY is corrupt. Tusingeweza kuthibitisha wizi wao. Corruption imeua uwezo wa wataalam wa vyombo vya dola na mahakama kupambana na uhalifu wa wenye uwezo na nafasi. Hayati Magufuli hakuwa na jinsi. Legacy ya Magufuli inatumiwa na Wananchi kuwapima waliyomfuatia, na inaonyesha wazi...
  2. K

    SPECIAL THREAD: Ushauri, Mapendekezo kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Okay, sasa kwa mawazo yako wewe nani anaweza kuibadilisha Arusha ?
  3. K

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    TISS hawajui kila kitu jamaniiii... especially hawa wa dunia ya tatu hawa wako busy kutafuna black budget ya Ikulu ambayo CAG Kichere haruhusiwi kuigusa.... Hata TISS ya Putin hawajui kila kitu, sasa hivi wanahaha kutafuta nani kawapiga kwenye ukumbi wa starehe mjini Moscow juzi ... na wale...
  4. K

    Waziri Makamba: Fitna zinashamiri CCM wakati wa Uchaguzi Mkuu hasa pale Rais aliyeko madarakani anapotakiwa kuendelea muhula wa pili!

    Hell No! That is not smart! Hilo ni dongo kwa taasisi ya CCM! Makamba anaibua tena mjadala wa malalamiko ya kubakwa demokrasia ndani ya chama kila ukifika uchaguzi wa muhula wa pili wa mgombea wa CCM. That is dumb as hell for Makamba to do if he is in Samia' camp. Bila kujijua Makamba...
  5. K

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Hajakubali Ukuu wa Mkoa, hata mimi ningekataa. Wamemtoa uraiani kwenda kuwa mwenezi kuiokoa a failing Samia administrion, ghafla wanamrusha Arusha makusudi akatulize Wamasai wanaohamishwa kupisha vitalu vya Waarab, na akajibizane na Godbless Lema, hell no.... kasema kwenye inaugural speech yake...
  6. K

    SPECIAL THREAD: Ushauri, Mapendekezo kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Wakikaa ofisini tunasema watoke ofisini, hela za Halmashauri zinapigwa kwenye ma saiti ya miradi hawana habari, wakifanya ziara tunasema Makonda anapiga hela za ziara.... Afanyeje? Ziara mkoani zinamfanya azidi kujua nini kinaendelea mitaani na vijijini kwa wananchi. Makonda ameongelea...
  7. K

    SPECIAL THREAD: Ushauri, Mapendekezo kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    "Kama akifanya" is right. Akifanya hata robo ya aliyoahidi atakuwa amefanya mengi kuliko marais na mawaziri wengi wa nchi hii na Afrika kwa ujumla. Sijawahi kusikia kiongozi anaeamini nchi hizi za dunia ya tatu umefika wakati kufuta squatters and slums, kufuta uswahilini. Wataalam wa Mipango...
  8. K

    SPECIAL THREAD: Ushauri, Mapendekezo kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    MAKONDA AAINISHA MPANGO KAZI WA VIPENGELE SITA: LETS MAKE ARUSHA GREAT AGAIN! April 8, 2024 Arusha ⦁ Mapokezi yamenitia moyo wa kuwa mtumishi mwema na mtetezi wa wanyonge. Kamwe sitaungana na fisadi kukandamiza haki zenu, nitakuwa sauti yenu mpaka ukamilifu wa dahali ⦁ Nawashukuru kwa...
  9. K

    Kuna haja gani ya muungano polisi kukamata wakristo huko Zanzibari wanaokula mchana?

    Yes, Nyerere alifanya jambo imbecilic, jambo la kizuzu kupita makosa ya marais wote punguani wa Afrika combined. Mtanganyika mmoja Muhammed Dewji wa Singida anamiliki shamba Singida, Tanga, Mbeya, Iringa na Mtwara ( kwa uchache) ambayo kwa ujumla yanazidi ekari 100,000. Pemba ina ekari 98...
  10. K

    Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

    Hakuna mwekezaji anaeogopa kuja Tanzania kwa kauli za waziri. Mwekezaji wa maana anajijuza sheria na sera za biashara wakati anafikiria kuwekeza, na anafunga mikataba. Tumekuwa wahanga wa kudumu wa mikataba, na mpaka juzi kuna kampuni ya gesi imeibembeleza Tanzania ianze mradi haraka maana...
  11. K

    Julius Nyerere akijibu maswali ya waandishi wa habari nchini Uganda, Julai 1988

    Aviation ilikuwa njia kuu ya uchumi, Nyerere hakuruhusu biashara binafsi kwenye njia kuu za uchumi. Marufuku yaliondolewa mwaka wa 1991. Lakini sisi na Uganda ndio wale wale, kama Nyerere alitumia huduma za biashara za charter flight basi aliitia hasara NRM na Uganda, nchi changa na...
  12. K

    Julius Nyerere akijibu maswali ya waandishi wa habari nchini Uganda, Julai 1988

    Kwa sababu ndege ilikuwa na bendera ya Tanzania. Mu7 hakutuma ndege. Do you think Museveni alilipa hela ya mafuta na manhours za crew kwa ndege ya Tanzania ?
  13. K

    Julius Nyerere akijibu maswali ya waandishi wa habari nchini Uganda, Julai 1988

    Kwani mgeni mwalikwa analipiwa usafiri na mwenyeji? Kwa hiyo Samia juzi alipoalikwa Italy akaenda na ATC unadhani alitanguliziwa hela ya mafuta na Italy ? Na lile "charter flight" la Nyerere lilikuwa na bendera ya Tanzania. Which means Mu7 hakutuma ndege. Kwa hiyo Mu7 alituma hela ya...
  14. K

    Julius Nyerere akijibu maswali ya waandishi wa habari nchini Uganda, Julai 1988

    Kwa hiyo Julius Nyerere alikuwa anapanda chatered flights ??? Jetset big baller ? Hold the presses! The paragon of modesty and champion of the poorest of African peasants? Lived such a double life ???? Mbeba bendera ya wanyonge na masikini wa Afrika ? Kama serikali ilitumia charted flight...
Back
Top Bottom