Hana lolote, angekuwa hapindishi maneno angelisema hili ndani ya Cabinet ya Kikwete. Au angeleta muswada bungeni wakati wake.
What the freak did you do about this freaking traffic disaster when you had the power, when you had the platform, you had access to highest leaders, to parliament, to...
Eti "go baba yetu"
Kwa nini agoo ? Agoo wapi ?
Mtu kauliwa, kikatili ajabu, unasema aende, kwa nini aende ?
Imagine huyu light weight, looks like a manican by the way, alikuwa mkufunzi wa sheria UD..... Hiki chuo nacho ni bottom of the barrel in all respects, tunadanganyana tu kukiheshimu...
1. Ziwe za kweli
2. Ziwe za uhakika
3. Zifuate taratibu
============
Haya, kwa yule anaemjua Muuaji kwa majina matatu, alikuwepo porini akashuhudia kipigo, kifo, kutupwa - LAKINI YEYE WAKAMWACHA SALAMA - na anajua taratibu za kipolisi na kisheria za kutoa taarifa atoke mbele atusaidie...
Mnyika anasema ametoa taarifa hii ili kama kuna yeyote alikuwepo kwenye basi atoe ushirikiano.
Hakuna mtu alikuwepo kwenye basi, zaidi ya mtekwa! Dereva yeye, tingo yeye, abiria yeye.
Mnyika amekuwa akipwaya kichwani jinsi miaka yake inavyoongozeka kwenye siasa na uongozi.
Ilitungwa makusudi, ndio.
Julius Kambarage Nyerere is singlehandedly culpable of this criminal design.
Anaitwa Baba wa Taifa for a reason. Kila uovu wa kiutawala wa nchi hii aliusimika mizizi yeye.
And he knew better. Nyerere akiwa mwanafunzi Scotland alikuwa mwanachama wa the Fabian...
CHADEMA inajitofautisha vipi na historia ndefu na chafu ya kulindana ya CCM ?
Kwa nini mwana CHADEMA aliyeleta rushwa nyumbani kwa Lissu analindwa ???
Abduli alileta hela ili Tundu Lissu afanye nini, mbona hasemi ?
Ina maana Tundu Lissu angekuwa Rais au kiongozi mkubwa kwenye serikali...
Sijui tunakusaidiaje mtu ambae unasema mwenyewe siku ya dada yako ilikuwa imefika, na hata ufanyeje huwezi kumrudisha.
Una li imani kama hilo, unalalamika nini sasa, tunakusaidiaje ?
Safi sana. Kwa nini miss South Afrika awe pandikizi la Nigeria ? Check her ethnic background and check it good!
South Afrika wanajitambua, wanalinda identity yao, na fursa zao, na maslahi yao, na mali zao kwa umakini na wivu mkali.
hakuna mibaharia na mi rejects kukimbia ma failed state...
Hawako kila kona duniani.
Sijawahi kuona myahudi huku Peramiho.
Myahudi hajiichanganyi hata na Mzungu. Sembuse pimbi wa Afrika.
Labda huko duniani kwingine lakini huku nilipo kijijini hatuwajui wanafananaje.
Isitoshe, Nyerere aliwafurusha Tanganyika.
Wameshindwa mabasi watawezaje treni ???????
Hazijaanza bado kuhitaji oil change na wheel alignment na bushing replacement...
Utasikia wanatafuta mwekezaji wa kuziendesha... Na kwaba vichwa vimepelekwa India kwa scheduled maintanance. Na huko geleji wamekuta foleni ya treni zingine...
hahahaaaaaaa... eti kwa nini anakubali kuwa apeche alolo wenzake wanakula bata....
Simple answer is, it is not in their DNA. Baba yao hakuwa jambazi. Hawakulelewa kuwa street runners wa dili za baba zao za kupoka na kuuza nchi.
Na huwezi kumpa mtaji mleta mada afanye biashara, the first born...
don't assume kwamba anatumbua watu kwa vile anaona mapungufu.... unampa credit za uongo
huyo Siwa kakaa miezi 10, leo kastaafu, alipomteua majuzi alijua anaenda kustaafu in months....
alitaka huyo Siwa aondoke na mafao ya Mkurugenzi Mstaafu... Rais anaigharimisha nchi big time, anafilisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.