Recent content by kwa-muda

  1. kwa-muda

    Haya yote yanayoendelea ni matokeo ya akina Polepole na utawala wa JPM - Tujifunze kupigia kelele viongozi kufuata sheria

    Narudia tena, haiijalishi kiongozi anavunja sheria na katiba kufanya mema, inafaa akemewe maana sisi nii binadamu, huyo kiongozi hatoishi milele. Baada yake atafuata mwingine ambaye huenda akawa anavunja sheria na katiba kufanya ambayo si mazuri, na atatumia msingi wa mtangulizi wake. Huu ndio...
  2. kwa-muda

    Haya yote yanayoendelea ni matokeo ya akina Polepole na utawala wa JPM - Tujifunze kupigia kelele viongozi kufuata sheria

    Nilichoandika ndicho umecomment. Yote yameanzia pale. Machawa waliopitiliza walianzia pale watu kupea UDC, ukurugenzi kwa sababu tu ni kusifia. Mambo mengi yameanzia pale ila kwa sababu watu wengi walikuwa wanaona kama utaratibu, sheria hazifuatwii kwa maslahi ya wengi wale wanaoitwa wanyongwe...
  3. kwa-muda

    Haya yote yanayoendelea ni matokeo ya akina Polepole na utawala wa JPM - Tujifunze kupigia kelele viongozi kufuata sheria

    Haijalishi unampenda vipi Hayati JPM, lakini ameacha shida kubwa iliyoanza katika utawala wake. Tatizo shida ya sisi Watanzania huwa tunafurahi na hatujali pale sheria, katiba ikivunjwa na mtu tunayedai anatimiza matakwa ya wananchi. Tena tunasema kwamba kufuata utaratibu na sheria...
  4. kwa-muda

    PreGE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

    Kusema kweli ni kwamba hakuna namna upinzani kwa sasa wanaweza kuchukua nchi CCM kwa sasa haiwezi kuruhusu hilo, na wananchi tumelala. Pia sioni kama chadema kwa sasa kama ina nguvu kama 2015, aina ya siasa za sasa ambazo ccm inawachezea umafia bado hawajazipatia mwarobaini.
  5. kwa-muda

    Maslahi binafsi yanayohujumu harakati na maisha ya vijana

    ukiwa na ndoto, kusanya wajinga wakuunge mkono na kuwaaminisha unawapigania, kisha watumie kutimiza ndoto zako. Ndicho kinachoendelea sana afrika.
  6. kwa-muda

    John Heche anaunga mkono Mbowe kupisha nafasi ya uenyekiti wa Chadema taifa kwa heshima

    Kikwete na Lowassa kama waligombana, basi hata wao wanaweza kutofautiana.
  7. kwa-muda

    Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

    Nasemaje, muache kuilaumu serikali na wana ccm kwa kulindana wanachofanya ni ubinadamu. Sasa umamchukuliaje hatua na kumpeleka mahakamani mtu aliyefuja pesa ya serikali bilions kadhaa wakati alikusaidia katika safari yako ya kuwa kiongozo. Huo si ubinadamu au vipi?
  8. kwa-muda

    Je Tundu Lissu hana ubinadamu?

    Kwa akili hizi ndiyo maana huwa mnajiuliza kwanini wanaokula na kufuja fedha za serikali huko huwa hawafanywi lolote. Jibu ni fikra kama zako ubinadamu. Kwamba anayebidi awawajibishe kuna mahali walimsaidia katika safari yake, hivyo anafanya kuwasamehe tu au kujifanya hawaoni. Kuanzia leo...
  9. kwa-muda

    Biteko anafaa kuwa rais baasa ya Samia kuongoza nchi kwa takribani 40 years mana hatujawahi kuwa na rais aina hii.

    Mungu ibariki TZ... Ngoja yasiyojulikana yabaki kama yasiyojulikana
  10. kwa-muda

    Awamu ya 5 ilifanikiwa kujenga miradi mikubwa kama SGR, Bwawa la Umeme na Daraja la Kigongo-Busisi kwa sababu Chadema walizuiwa kufanya Mikutano!

    Inabidi wanasayansi wafanye utafiti tena kwa sababu huenda wakagundua kuwa Watanzia ni specie nyingine na ya kipekee. Matendo na reasoning ya watanzania ni ya kipekee dunia nzima.
  11. kwa-muda

    Narudia kusema! hakuna adui mbaya kama pombe!

    Oh-ooh, pombe sigara Naweza wacha bila kung'ang'ana Lakini, hawa wasichana Vile nawapenda, ni kama laana https://www.youtube.com/watch?v=u2vt37RZdC8
  12. kwa-muda

    Hivi tunalima nini? na kwa ajili ya nani?Hawa foreigners wetu umeachia wakulima wa kigeni wawalishe vyakula?

    Hakuna mtanzania aliyezuiwa kufanya ila ndiyo hivyo tuko bsy na ujinga mwingi
  13. kwa-muda

    Bashungwa Atoa Miezi Miwili kwa NIDA, Vitambulisho Milioni 1.2 Vilivyotengenezwa Kuwafikia Wananchi

    Mimi cha kwangu walinikabidhi kishafutika baadhi ya maneno
Back
Top Bottom