Recent content by kwa-muda

  1. kwa-muda

    VIDEO Mpya: Rosa Ree Featuring Fik Femaica - Acha Ungese

    Frida mkali zaidi ya huyu tatizo nyota. Fik fameika rapa mkubwa Uganda ila nilichogundua muda mwingine kama huelewi mtu anaimba nini hasa kwenye kuchana unaona anaimba pumba jamaa ana ngoma inaitwa kutama ilikuwa hit sana uganda lakini mimi naona anaimba pumba tu
  2. kwa-muda

    Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

    Kumbe wengi mnalaumu hata bila kuwa na ushahidi na mnachanganya mambo. Ruge alimtapeli wapi Saida wakati aliyemtapeli ni Felician yule wa FM studios aliye msainisha mkataba kuwa nyimbo ni mali yake.
  3. kwa-muda

    Upi uhalali wa kampuni ya Fintegri iliyopo Jangid Tower, Mbuyuni Dar es Salaam?

    Tujifunze kusoma na kuelewa mambo hivi unahusishaje cryptocurrency, forex na d9?
  4. kwa-muda

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Watajuaje mkuu haya maduka ya kwenya ma mall ni hatari sana niliwahi uziwa tshirt bei mbaya siku hiyo hiyo nikaikuta kwa ndevu 15000
  5. kwa-muda

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Hakuna Samsung inches 32 hata iwe generation gani kwa sasa ambayo siyo smart siyo 4k siyo curved inayouzwa zaidi ya laki saba kama ipo nitajie
  6. kwa-muda

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Kumbe basi na mimi nikahisi labda ni wale watu ambao shopping zao na Mcty tu unalipia hadi AC
  7. kwa-muda

    Finally Ommy dimpoz amerudi tena kwenye Game ya muziki

    mkuu ugonjwa si kwa mtenda dhambi tu hujawahi kuona mtu mcha Mungu anapata ugonjwa unamtasa sana?
  8. kwa-muda

    Wale wa BITCOIN wameshatapeliwa

    Huendda hukuelewa kwa maana bitcoin zilizoko kwenye mzunguko ni zaidi ya tillions hata 20 za kitanzania we waongela bilion 200 tu???? Na mwanzilishi wa Bitcoin mbona hajulikani we umejulia wapi mkuu? Na bitcoin haiwi centralized kusema ina run within a single PC
  9. kwa-muda

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Unaongea kitu usichokijua nishanunua hizo samsung na lg mara kadhaa tena duka lao pale posta mbele kidogo ya bank ya Azania kama mnapigwa mnapigwa nyinyi ila bei zake ndo hizo na inches 43 ndo inachezea 840. Samsung LED inches 32 ndo bei yake labda kama ni smart TV ndo bei yake inapanda
  10. kwa-muda

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Aisee mkuu hivi wajua samsung inches 32 LED dukani inauzwa kati 580-650? Ila all the best
Back
Top Bottom