Frida mkali zaidi ya huyu tatizo nyota.
Fik fameika rapa mkubwa Uganda ila nilichogundua muda mwingine kama huelewi mtu anaimba nini hasa kwenye kuchana unaona anaimba pumba jamaa ana ngoma inaitwa kutama ilikuwa hit sana uganda lakini mimi naona anaimba pumba tu
Kumbe wengi mnalaumu hata bila kuwa na ushahidi na mnachanganya mambo. Ruge alimtapeli wapi Saida wakati aliyemtapeli ni Felician yule wa FM studios aliye msainisha mkataba kuwa nyimbo ni mali yake.
Huendda hukuelewa kwa maana bitcoin zilizoko kwenye mzunguko ni zaidi ya tillions hata 20 za kitanzania we waongela bilion 200 tu????
Na mwanzilishi wa Bitcoin mbona hajulikani we umejulia wapi mkuu? Na bitcoin haiwi centralized kusema ina run within a single PC
Unaongea kitu usichokijua nishanunua hizo samsung na lg mara kadhaa tena duka lao pale posta mbele kidogo ya bank ya Azania kama mnapigwa mnapigwa nyinyi ila bei zake ndo hizo na inches 43 ndo inachezea 840.
Samsung LED inches 32 ndo bei yake labda kama ni smart TV ndo bei yake inapanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.