Recent content by Kuyeya

  1. K

    JamiiForums Tanzania NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Niwapongeze NMB kwa jitihada zenu za kuanzisha uzi huu kwa ajili ya kuwasiliana na wateja wenu. Kwa kipindi kirefu sasa kwa wakazi wa maeneo ya Tangi Bovu, Goigi, Mbezi Beach Shule pindi tunapohitaji huduma zenu inatulazimu kupanda gari hadi Africana kwa ajili ya kufuata huduma hizo. Je hamuoni...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Anipa onyo baada ya kuhisi natembea na mkewe

    Duh pole sana kijana. Katika hali ya kawaida huyo jamaa ni mstaarabu sana. jambo la msingi unalopaswa kufanya ni kukata kabisa mawasiliano na huyo mwanamke haijalishi ataendelea kukusumbua kiasi gani maana ukirudia tena mwaisho wako utakuwa mbaya sana. Wake za watu wachungu sana.[It is not...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Anipa onyo baada ya kuhisi natembea na mkewe

    Duh pole sana kijana. Katika hali ya kawaida huyo jamaa ni mstaarabu sana. jambo la msingi unalopaswa kufanya ni kukata kabisa mawasiliano na huyo mwanamke haijalishi ataendelea kukusumbua kiasi gani maana ukirudia tena mwaisho wako utakuwa mbaya sana. Wake za watu wachungu sana.
Back
Top Bottom