Recent content by KUWEDA

  1. KUWEDA

    waambie dada zenu...

    Hv wew ni jinsia ya kiume kwel Wewe.ukiona upaja nliouona utaduwaa mwenyewe..nliyemuona mm co gumegume ni mshombeshombe.
  2. KUWEDA

    Wanaume, acheni kupagawa na kujitutumua kwenye size zisizowatosheni!

    Mnapenda kutucheka wasukuma washamba Lisa tunafunga ndo katikati ya zizi la ng'ombe..kazi kwenu mnaofunga ndoa kwenye pantoni.
  3. KUWEDA

    waambie dada zenu...

    Miss strong wew kama ni mdada hujui huwa tunajickije wanaume pindi mdada anapojiachia wazi...mi nikija kwako upaja wangu iko nje utafeel kitu keel?..ki fupi najua kinachonipeleka church ila Gao wanaovaa uchi waulize wanajua wako WaPo,,pengne wao wanajua WaPo club kumbe wamewrong way.
  4. KUWEDA

    waambie dada zenu...

    Nimekuwa nikiexperience akinadada hasa hawa wanaojifanya globalization walitunga wao,wanapokuja ibaadani wanavaa nguo ambazo cc waumini wa kiume zinatupoteza mwelekeo ibaadani..utakuta mdada anakuja church kwanza amechelewa then viti(nafasi ya kukaa)vya akina mama vimejaa hvyo analazimika kukaa...
  5. KUWEDA

    Living room designs....!!!!

    Nyie wadhungu nini?...au mko masaki kwa wenye bingo?...karbuni tandale karibu kabitha na anapoishi msaii TanzAnite.
  6. KUWEDA

    Ladies, kwa hili jifunzeni madhara ya kuishi maisha ya kuigiza (fake life) kuwahadaa wanaume

    Kwahyo wewe umeona wasukuma tu ndo wanao katana ugali pind wafkapo town...vp kabila lako nasikia hukana wachumba zao?..tehe!!teheeeeee.
  7. KUWEDA

    Atakae kuwa tayari kuwa Mke

    We Segwanga mambo kama huyawezi potezea sio kila k2 uchangie.ulitaka aje kwenu aulizie? Bac mwelekeze ni wapi atapata mke kama alivyoomba.JF ni sehemu yeny wa2 wa kila aina,acha wenye busara zao wamsaidie au m2mie namba ya ndg yako yeyote asiyekuwa na mwelekeo akusaidieni. Punguza ujuaji.mke...
  8. KUWEDA

    Kuanzia sasa ukienda kuoa Moshi andaa vitu hivi...

    Mi sidhan kama ni kweli..maana ndugu yangu kaoa moshi kwa mbuzi,blanket na laki1.. Ila huyu jamaa inaonekana kajitambulisha kama billgate ndo wanataka kuthibitisha..KAMA KWELI ANAMPENDA ATA...)
  9. KUWEDA

    Nimekutana na mtoto toka JF ni mkali

    ungekuwa mtaani kwe2 ungeweza kusimulia umekutana na watoto wakali? maana kila cku nafokewa na watoto tena ni majeuri vbaya mno....hata wa miaka 5 ni mkali
  10. KUWEDA

    Niifanyie nini?

    Duh:-) mi napita tu.
  11. KUWEDA

    Mapenzi na kukopeshana!

    Kukopeshana kupo ila mwenza anaekopesha atazame yafuatayo; 1.mpenzie anakazi ijakayomfanya alipe deni? Au ni goalkeeper atalipa deni thru ganji za fedha ya mboga unayomwachia?(Hao ni akina dada wakopaji) 2.mwenza anatabia ya utapeli? Na hzo fedha ni kwa kazi gani?..ukijua hayo unaruhusiwa...
  12. KUWEDA

    Hii ni sahihi?

    We unawaza kugegeduana tu. Kama jamaa ni mla mate tu hamgegedui?
  13. KUWEDA

    Hii ni sahihi?

    Mh!!.kama ni mwanafunzi nawe pia ni mwanafunzi hapo itakuwaje? Hii ipo sana jamani,huyu jamaa kaiona
  14. KUWEDA

    Hii kwa wadada wote: Unataka kuwa Mchunaji mzuri mtandaoni?

    Huyu jamaa nasikia ni kati ya walimu waliochangia kufeli kwa watahiniwa mwaka jana...MI CJAMUELEWA LABDA WENZANGU MNITAFSRIE..maada yake inaonekana ni nzuri.
  15. KUWEDA

    Tafsri halisi ni ipi?

    Tafsri halisi ya neno MAHARI ni ipi?; Kama ni zawadi kwa mzazi aliyekuzalia mke,mbona jamii zetu zinakupangia kiasi cha kutoa?..na 2juavyo wabongo zawadi ni zawadi hata neno AHSANTE linatosha kukupatia mke...Wengine wakikimbiwa na wake zao wanaenda kudai mahari yao ukweni. Then,kwann wanaume...
Back
Top Bottom