Recent content by kutwa mara 3

  1. K

    Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

    Kama unataka wanao waishi kwaamani hapa duniani achana na tamaa... Tamaa yako mwenyewe itakuharibia watoto wako.. Kumbuka MWANAMKE MPUMBAVU HUBOMOA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE.. fikiria kwa makini hapo nilipo andika kwa herufi kubwa.. kama huelewi omba Mungu akueleweshe utakuja...
  2. K

    Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

    Kama unachepuka na yeye anachepuka ,, hauna uhalali wa kumwacha mkeo kabisa... Kubali ukatae huo uhalali hauna kabisa hata uwe hauna dini ...
  3. K

    Usidanganyike, Wanawake hawana mapenzi ya kweli

    USIJIDANGANYE UKAMPA MWANAMKE MOYO WAKO WA UPENDO UTAKUJA KULIA KAMA MTOTO, WANAWAKE WA SASA HAWAJUI WANACHO KITAKA...
  4. K

    Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

    UKIENDELEA KUSHUPAZA SHINGO NA UKAENDELEZA MAWASILIANO NAE.. IPO SIKU UTAKUJA KUSEMA YALAITI NINGEJUA NINGEKATA MAWASIKIANO NAE KABISA...WANAWAKE HAMUELEWAGI CHOCHOTE MPAKA SIKU YA KUKUTE NDIO UTAELEWA SOMO
  5. K

    Leo nimemuona mwanangu, dogo anasoma IST, nimelia machozi!

    Siku unataka kujua uhalali wa mzazi wa mtoto kwa familia ya kigogo jiandae kukaa jela mpaka umri wako wa kufa ufike... Au uwezo wa kumbukumbu upungue.... Vigogo hawapendagi aibu za kijinga jinga.. hata kama anajua sio wake yeye anafunga tuu macho ilimradi huduma ipo vizuri
  6. K

    Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

    Mimi mwenyewe na shangaa na kila mtu ananishangaa nimewezaje , na amani inatawala kabisa kama hakuna kilichotokea, ila nikitaka kuwatelekeza moyo na nafsi vinagoma kabisa kabisa.. nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa kabisa kufanya hivyo
  7. K

    Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

    Hajukikani alipo na hadi sasa mtoto yupo kwenye himaya yangu
  8. K

    Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

    Nina document kutoka kwa mkemia mkuu ninayo hapa nimeiweka tuu kabatini
  9. K

    Naangamia naombeni msaada kukwepa hii laana

    Naandika kwa uchungu sana.. Yapata muda mrefu sana nilikua na mpenzi wangu na nilitarajia kumuoa hivi karibuni, ila kabla ya kuoana tulikua tunatafuta mtoto na nilitoa unabii mtoto wa kwanza atakua ni wakike na kweli kawa wa kike kama nilivyo nena.. Kilichotokea ni hivi mahusiano yetu...
Back
Top Bottom