Ndio wanaona suluhisho. Wangefanya hivi vigezo usajili, kila mtanzania alieyefikisha 18yrs, aende na cheti Cha kuzaliwa, barua ya mtendaji, ikiwezekana vyeti vya shule, kwa ambao hawana vyeti vya kuzaliwa walazimike kubeba vyeti vya wazazi wao kuthibitisha ni watz, hii ni kwa sababu watz...
Yani mkuu ulikuwa kichwani mwangu, nachelea kusema kwamba si wabunifu, wathubutu, Sasa mnyonge afanyaje Kama wahusika wanalalamika hawatafuti suluhisho
Waafrika tuna matatizo. Inapaswa kuwa wabunifu zaidi, haiwezekani line milioni 30 zipoteze mapato serikalini na kampuni za simu. Hata wenye dhamana na sekta hii wangekaa na wadau wa mawasiliano na kuhusishwa serikali za mtaa je tutumie mbinu ipi tusajili line bila usumbufu. Wenzetu nchi...
Taratibu inayolazimisha kwamba ili usajiliwe uwe na NIDA haina maana, fingerprint ilikuwa usajili tosha kwa mmlik wa siku kwani duniani Kuna zaidi ya watu billion Saba, lakini kila mmoja ana utambulisho wake wa alama ya dole gumba 'fingerprint'. Suala mtanzania kuwa na ID ya NIDA lingejitegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.