Tembea duniani uone ndio uanze kupiga kelele.
Hiyo dunia uliyotembea ni ipi?>
Nchi nyingi sana zina huu utaratibu na wewe ndio wa kwanza kushangaa.
Kweli ushamba ni mzigo mkubwa.
kweli kabisa. Hata Sauz tu watu hulipia bara bara.
kwani road licence tunazolipia ni za nini... ni za barabara...
Kabaridi, Kwa taarifa Botswana wameendelea na wako mbali sana kimaendeleo as compared to your country.
Anachosema ndo msimamo wa nchi yao. wewe unajua msimamo wa nchi yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.