Recent content by kuruta ni mdudu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    Asiye na uchungu na taifa hili ni yule asiyelipa Kodi. Idara zingine mna vyama vyenu vya kuwasemea kama Tughe, Cwt, etc.. Uliwahi kusikia Askari ana chombo chochote cha kutetea maslahi yake? Wewe unatoka kazini saa ngapi? Wewe unafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya utumishi inayomtaka...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    Hayo maneno ya kike nenda kawambie wana siasa wenzako.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    Mkuu wetu anakula kiyoyozi 24/7 na kutisha tisha watanzania juu ya 26 April. Anatisha watu kwa kiburi Cha walinda nchi(Jw,polisi na Magereza), mkuu anasahau haraka. Mkuu hajui wale watu kwa Sasa wamegawanyika. Mkuu umestaafisha watu wa huko na mpaka leo hujawalipa pensions zao, hujawalipa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Hakuna ndoa feki Kama unajua maana ya ndoa huwezi kuita ndoa feki
  5. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Hahahaaaaa Kwa sasa viko tofauti kabisa, cheti cha Bakwata kina mpaka maandishi ya kiislam(arabic) cha serikali karatasi yake inafanana na cheti cha kuzaliwa(vile vyeti vya miaka ya nyuma)
  6. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Cha Bakwata ni tofauti na cha serikali.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Cha Bakwata ni kimoja nchi nzima, ila kuna baadhi ya mashekhe hua wanapewa vyeti vya serikali( karatasi zake ni kama vyeti vya kuzaliwa), sasa kazi ni kumjua ni shekhe gani katika kata yako anapewa hivyo vyeti maana maisha yetu watumishi ndo kama unavyojua kwenu masasi kazi uko Bukoba
  8. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Ukisema hivyo napata picha kwamba ndani ya serikai idara zinatofautiana. Mimi nipo kwenye mambo ya ulinzi na usalama, huku hivyo vyeti vinasumbua.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Hakuna unachojua katika hili, unajichosha mwenyewe kutaka kucomment kila jambo hata usilolijua[emoji23] [emoji23]
  10. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Kama wewe ni mtumishi wa serikali jiandae kutafuta cheti cha serikali. Hicho cha Bakwata ninacho na kina kila mihuri unayotaja wewe. Kama hutanielewa time will tell
  11. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Tatizo la binadamu ni kutaka kuonekana anajua kila jambo[emoji23] [emoji23] Endelea na kazi utafute ugali wa familia, hili nililouliza wewe hulijui ndio maana unajibu kujifurahisha
  12. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Cheti cha Bakwata kazini wanataka cha serikali, cha Bakwata wanapokea ila hakina nguvu katika mambo kama uhamisho na maslahi ya mtumishi. Kama kuna yeyote alipeleka cha Bakwata wakamwambia kinatosha basi ajiandae kutafuta cheti cha serikali watamsumbua baadae
  13. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Kuna vyeti vya Bakwata kama Bakwata, na kuna vyeti vya serikali Waliooa wanajua hili, uliza mashekhe watakwambia. Kuna mashekhe pia wanakua na vyeti vya Bakwata na serikali ila ni wachache sana pia ni vigumu kuwajua maana katika kata nzima vyeti vya serikali unaweza kukuta kapewa shekhe mmoja...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilifunga ndoa ya kidini, nahitaji cheti cha ndoa cha serikali

    Huwezi kujua kila jambo, hata hivyo usilazimishe kuonekana kila kitu unakijua
Back
Top Bottom