Jameni wandugu naomba kufahamishwa bei ya mafuta ya mawese dumu LA ltr 20 kutoka mkoan mbeya pale sokomotola au mwanjelwa Sido kwa anaye fahamu tafadhari
Me nahitaji yenye vyumba 3 iwe ya kujitegemea kila kitu na iwe na fence maeneo ya Nyegezi, Mkolan na Buhongwa. Ikipatika kwa maeneo hayo naomba kujulishwa bajet yangu 2800000
Kama uko mjini sas hivi ni msimu wa vifaa vya shule unakaribia tafut eneo weka meza kweny maeneo ya machinga nunua counterbook, pen, pencil, sets, socks za shule, swaeter na shati za shule na begi ndogo za size ya watoto wa chekechea. Kwa huku mwanza maduka ya jumla ni mengi utapata kwa bei ndogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.