Microscope used _300000
Centrifuge machine_200000
Hb & RBG machine_120000
Meza _60000
strip za mrdt,pitc,Vdrl,hvs,h_pilory,upt_50000
sing bod _18000
mengineyo _150000
sinki la kunawia _35000
Taka nachomea Kituo cha jirani...
Taratibu sijazifuata maana ningepata rongo rongo Sana...nilifuata taratibu Halmashauri ya Monduli Hadi nikaamua nisepe wilaya nyingine tu...mtaji haizidi 2mil...kila Kitu ñacho ...DMO alinifuma juzi akaniomba laki 2 niendeleze huduma pasipo buguza...akawaambia na timu yake waniache nifanye...
Aiseh huu uzi ningeufuata mwanzoni nisingekufungua Maabara maana umeweka mtaji mkubwa Sana mkuu...Nipo Kijijini ila nimefungua kwanzia trh 1/2/2023 Aiseh hakika naenjoy Maisha ila mdau juu kasema uwe mjanja wa kucheza na mamlaka hakikisha dawa unazo za kutosha unatoboa vzr tu...Mimi nimefungua...
Hello waungwana,
Nipo mkoani Arusha. Nina mtaji wa vifaa vya Lab ila gharama ya kulipa pango na pia kurekebisha chumba pesa imeniishia. Sasa basi kama na wewe una ndoto hiyo naomba tushirikiane.
Site ni nzuri Sana iko palipochangamka pia sehemu yenye population kila wiki mnada rahisi mno...
Tangazo hilo kama linavyojieleza wapendwa ninahitaji nafasi ya kazi.
Nina miaka 28Yrs...mkazi wa Kahama Shinyanga...Nina ERP....Uzoefu upo wa kutosha tu kama miaka 5 tokea nimalize chuo 2016..Nina mke na mtoto mmoja ...0765 626 871.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.