Jamani nyie ambao Ni WATAALAMU wa hizi mashine mtusaidie kutupa elimu, na sio kila MTU kuvutia kwake kibiashara, tusaidieni watanzania wenzenu ili nasi tujikomboe kimaisha. Nataka ninunue Ila nahitaji shule kutoka kwenu kwanza
Hawa jamaa pale bandarini uhuni mwingi, ukikomaa kutaka muongozo TRA hapo ndio wanashituka na mnaenda sawa, serikali inabidi iweke sawa hasa uvushaji wa tuvitu tudogo dogo Kama Tv na redio. ZANZIBAR so TANZANIA JAMANI!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.