Kaka naifahamu vema kwani uchaguzi ni dharura si walijua kuwa kuna uchaguzi kwa nini hawakuungana mapema? Sheria haimkabi mtu acha ushabiki mandazi kaka
Ikulu ya ubeligiji au ipi unayoisemea kaka, hao waache kumpa Kura membe wakampe risu thubutuuuu. Jaman tuache ukasuku uchaguzi ni namba. Kumbuka mwaka 2015 tulikuwa na ukawa tukapata Kura za urais 6m .lakini this time kumbukeni kila mtu anapigana kivyake. Kama unakipenda chama chako jiandae...
Hata siku moja hamtakuja kuwa na demokrasia ya kweli kama daily mkisimama majukwaani mnaahidi kuwaletea wananchi, maji, barabara, umeme, matibabu, masoko ya mazao ya biashara kama hamtajibidisha kukamilisha haya sasa. Msidhani maendeleo ya ulaya yalipatikana kirahis hivyo, wenzenu waliumia sana...
Nyie mtu akishaanza kushabikia kufilana huwa hawezi kufocus kwenye mambo ya msingi, kimsingi Lisu siyo chaguo la chadema ila mabebelu, tena sasa ana ulaia wa nchi hiyo sijui tunajua hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.