Nachokiona kuwa taasisi zote za serikali ni huru zinaamua mambo yake bila kushirikiana na taasisi nyingine mfano tcu na jkt juu ya awamu ya tatu wanaoenda jkt au chuo pili tcu na heslb wakati heslb wanasema hawatambua kigezo cha priority au non tatu cda dodoma na mkuu wa mkoa juu ya maendeleo ya...
Unajua wakuu kwa waliodisko au wakaacha au wakaalisha mwaka majina yao hayatoki kama freshers huwa yanatoka peke yao na wanaitwa bodi makao makuu kwaajili ya kulipa kwa 25% ukishindwa kulipa upewi mkopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.