Recent content by KUNI

  1. K

    Tetesi: Huyu ndio jasusi alietumwa kuingamiza ACT Wazalendo

    Kuenguliwa kwa Mpina kuna hasara kwa CCM kuliko faida. Ni kujidanganya kuwa Mpina angepunguza kura za CCM. Kama 2020 walipata 84% pamoja na upepo wote aliokuwa nao Lissu wa CHADEMA, sembuse Mpina wa ACT! Wahuni wa CCM walimhitaji sana Mpina kama mgombea urais walau kupaka rangi kaburi la...
  2. K

    GE2025 Wako wapi waliokuwa wanasema Tumefanya Reforms hakuna tena Wapinzani Kuenguliwa au Kukatwa? Mmeona ya Mpina sasa?

    Katiba inatamka Mgombea laz Na ndivyo alivyojisifu Polepole; kwamba kwa hili la Mpina kuenguliwa, wamewapiga bao wauni.
  3. K

    GE2025 Wako wapi waliokuwa wanasema Tumefanya Reforms hakuna tena Wapinzani Kuenguliwa au Kukatwa? Mmeona ya Mpina sasa?

    Okay. Kifupi ni kwamba kwenye suala la kuenguliwa Mpina hata Polepole ameshiriki ku-engineer mchakato wa kuandaa hoja na nyaraka zilizopelekea kufikia uamuzi wa kumuengua Mpina; lengo ni kuvuruga igizo lililokuwa limepangwa kufanyika kwani uwepo wa Mpina ungechangamsha uchaguzi kwa kuonekana...
  4. K

    GE2025 Wako wapi waliokuwa wanasema Tumefanya Reforms hakuna tena Wapinzani Kuenguliwa au Kukatwa? Mmeona ya Mpina sasa?

    Kwa mujibu wa wasilisho la jana la Polepole, yaliyotokea nyuma ya pazia kwenye suala hili ni kinyume kabisa na mtazamo mlionao humu.
  5. K

    GE2025 Wako wapi waliokuwa wanasema Tumefanya Reforms hakuna tena Wapinzani Kuenguliwa au Kukatwa? Mmeona ya Mpina sasa?

    Kama ulimsikiliza vizuri Polepole kwenye wasilisho lake la jana, amelifafanua vizuri sana jambo hili.
  6. K

    GE2025 Tuhuma za Polepole zimenikumbusha hotuba ya Lissu ya kufunga kampeni 2020

    Wakati akifunga kampeni za CHADEMA (siku moja kabla ya uchaguzi) kwenye viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe; Lissu alisema kuwa matokeo ya uchaguzi wa urais yameshapikwa. Akadai kwamba amedokezwa na watu walio ndani ya mfumo kuwa Magufuli atapata kura milioni 12 na wengine wataambulia kura...
  7. K

    Lissu fanya yafuatayo kukomesha huu upuuzi wa kutishana

    Kumbe haujanielewa.
  8. K

    Lissu fanya yafuatayo kukomesha huu upuuzi wa kutishana

    Kwa hiyo wakimtoa watamtoa kwa sababu amejitetea vizuri au kwa sababu wameamua tu kumtoa kwa sababu nyingine?
  9. K

    Lissu fanya yafuatayo kukomesha huu upuuzi wa kutishana

    Yaani watesi watakuwa wameshikwa korodani vibaya mno!
  10. K

    Lissu fanya yafuatayo kukomesha huu upuuzi wa kutishana

    Sahihi kabisa. Unajitetea kwa mwovu ili iweje? Hata Jesus mwenyewe (ambaye Lissu anamwamini) alivyokamatwa hakujitetea kwa chochote, akawaacha wafanye wanachoona sahihi. Kwanza akifanya hivyo wenyewe watachanganyikiwa maana wao wamejiandaa kuzungushana kwenye vifungu vya sheria huku wakiendelea...
  11. K

    Lissu fanya yafuatayo kukomesha huu upuuzi wa kutishana

    Hongera sana. Naona umeelewa mantiki ya hoja yangu kwa 150%.
  12. K

    Lissu fanya yafuatayo kukomesha huu upuuzi wa kutishana

    Kwani kama kwa ukiziwi na upofu wao wameamua kumuua, mawakili wana uwezo wa kuzuia? Kwani hayo maneno ya uasi ni kweli hajatamka na wenye mamlaka hawajui kwamba hayo maneno hayamaanishi uhaini? Na kama lengo lao ni ku-buy time kwa kesi isiyo na dhamana, hauoni kuwa kuendelea kubishana kwa...
Back
Top Bottom