Kuenguliwa kwa Mpina kuna hasara kwa CCM kuliko faida. Ni kujidanganya kuwa Mpina angepunguza kura za CCM. Kama 2020 walipata 84% pamoja na upepo wote aliokuwa nao Lissu wa CHADEMA, sembuse Mpina wa ACT!
Wahuni wa CCM walimhitaji sana Mpina kama mgombea urais walau kupaka rangi kaburi la...
Okay. Kifupi ni kwamba kwenye suala la kuenguliwa Mpina hata Polepole ameshiriki ku-engineer mchakato wa kuandaa hoja na nyaraka zilizopelekea kufikia uamuzi wa kumuengua Mpina; lengo ni kuvuruga igizo lililokuwa limepangwa kufanyika kwani uwepo wa Mpina ungechangamsha uchaguzi kwa kuonekana...
Wakati akifunga kampeni za CHADEMA (siku moja kabla ya uchaguzi) kwenye viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe; Lissu alisema kuwa matokeo ya uchaguzi wa urais yameshapikwa.
Akadai kwamba amedokezwa na watu walio ndani ya mfumo kuwa Magufuli atapata kura milioni 12 na wengine wataambulia kura...
Sahihi kabisa. Unajitetea kwa mwovu ili iweje? Hata Jesus mwenyewe (ambaye Lissu anamwamini) alivyokamatwa hakujitetea kwa chochote, akawaacha wafanye wanachoona sahihi.
Kwanza akifanya hivyo wenyewe watachanganyikiwa maana wao wamejiandaa kuzungushana kwenye vifungu vya sheria huku wakiendelea...
Kwani kama kwa ukiziwi na upofu wao wameamua kumuua, mawakili wana uwezo wa kuzuia?
Kwani hayo maneno ya uasi ni kweli hajatamka na wenye mamlaka hawajui kwamba hayo maneno hayamaanishi uhaini?
Na kama lengo lao ni ku-buy time kwa kesi isiyo na dhamana, hauoni kuwa kuendelea kubishana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.