Recent content by Kunguru wa Unguja

  1. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Wanawake mjue, watoto sio big deal kwa wanaume wengi. Ukiondoka na nyodo huyo mwanaume anauwezo wa kupata watoto kama hao mia moja huko kwingine

    Hii changamoto nipo nayo this time nikabaki kumwacha akatishia kutoa mimba nikajibu short toa tu nikiwa najua hawezi kutoa
  2. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Wanawake mjue, watoto sio big deal kwa wanaume wengi. Ukiondoka na nyodo huyo mwanaume anauwezo wa kupata watoto kama hao mia moja huko kwingine

    Umemaliza mkuu tamaa au ujeuri umeua upendo wa mwanaume na ndicho kinachozalisha ma single mother wengi mtaani
  3. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Wakuu maternal death ( kifo cha mama mjamzito) kinaweza kupoteza kazi au kufungiwa leseni?

    Kabisa maanake hata wagonjwa wengine atawahudumia kwa wasiwasi
  4. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sure ,yaan usiku mtulivu ndio mzuri kwa kutengeneza code hasa kama huna kero yoyote na mtu either mke/mme, rafiki ndugu
  5. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli JamiiForums siyo ya mchezo hata kidogo!

    🤣🤣🤣ila jf bhana nilishawahi kumtolea sumu Lucas Mwashambwa hadi akapoa sasa sijui ni nani huko juu ila alitimua mbio
  6. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Picha linaanza jamaa kaplace mkeka usiku kabisaa it means aliumiza kichwa na alifanya chaguzi zenye nidhamu kutengeneza odds 3000+ alafu kwa option zenye odds 1.14 na kuendelea utulivu wa hali ya juu
  7. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Jamaa amwaga chozi kisa kukuta SMS zangu kwenye simu ya mwanamke wake

    Uzuri mshkaji alishamwambia demu amzingatie mshkaji wake na afute chats sidhani kama kuna makosa hapo just hamu za hapa na pale na ukizingatia demu alimtafuta jamaa mwenyewe
  8. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Hakuna muda wa kusubiri la sivyo angesubiri tu
  9. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Warudishe mpunga tu mambo yakufanya ni mengi
Back
Top Bottom