Recent content by Kungunimgomvi

  1. K

    Hii staili ya kujibu maswali inakera!!

    Ila kuuliza swali wakati umeulizwa nayo ni kama dharau
  2. K

    Hii staili ya kujibu maswali inakera!!

    Hio ni kawaida yetu watanzania jmn......mtu haulizi hivyo kwa ubaya na si kwamba haoni unachofanya au nn........mfano mpo sehem wanapouza magazeti mnasoma wote headlines lkn anakuuliza" wameandika nn hapo?".......its just anataka mdiscuss na muongee. Na hio ni kawaida. Kwahio mtu saa zingine...
  3. K

    What what?

    Unauliza kuku singida?
  4. K

    Mambo mengine yana kera kweli hebu cheki hii

    Hii thread mbona haina maandishi?
  5. K

    Je, unajua sheria za kuvaa tai?

    Ukivaa tai hutakiwi kubeba mfuko wa rambo
  6. K

    Je, unajua sheria za kuvaa tai?

    1: hairuhucwi kuvaa kandambili 2: hairuhucwi kula barabarani 3: hairuhucwi kuuliza mda 4: hairuhucwi kupanda baiskeli 5: hairuhucwi kusimama gengeni
  7. K

    Je, unajua sheria za kuvaa tai?

    Pia ukivaa tai hairuhusiwi kutokwa jasho
  8. K

    Je, unajua sheria za kuvaa tai?

    Kuna vitu ambavyo ukifanya huku umeulamba tai utaharibu sana 1: ukivaa tai.....usile mua 2:ukivaa tai......usiongee...hadi mate yakatoka Naomba muendeleze hapo
Back
Top Bottom