Recent content by kungunde

  1. kungunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    Bila ushahidi kweli kiongozi
  2. kungunde

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Ilo ni jambo la kawaida kama baba alikua kicheche ama hajawai waambia watoto wako wangapi ama hakuandika wosia
  3. kungunde

    JamiiForums Tanzania Muujiza wa Tony Kapola: Je aliombea mtungi mkubwa au mdogo?

    Watumishi wanamezesha kwanza sumu ya uaminifu kwa waumini kabla ya kila kitu kisha kuanza kuwapa hadithi za uongo na ulaghai kwahy wak inakua rais kuingia kwenye mtego wa kwa bwana hakuna kinachoshindka
  4. kungunde

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu unawezaje kuishi na mtoto sio wako na unamuhudumia kama Diamond

    Tatzo ukuelewa mantiki ya point yangu ni nini diamond kwenye mahojiano yake hivi karibuni amesema kuwa anahudumia na anaishi na watoto ambao alipima hadi DNA na kutambua sio wake ila anaendlea kuwa handle kama watoto wake
  5. kungunde

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu unawezaje kuishi na mtoto sio wako na unamuhudumia kama Diamond

    Hivi mtu unawezaje kuishi na mtoto sio wako na unamuhudumia kama Diamond anavyosema
Back
Top Bottom