Sawa Unaweza kuelewa Tabia za Shetani pasupo kujua Shetani ninani, Shetani ni nani na ilikuaje akawa Shetani, unaweza kunipa majibu ya kunitosha pasipo kutumia maandiko, Unapozungumza Mwanadamu na Tabia zake uwezieleweka kirahisi pasipo kurudi ktk historia ya maandiko matakatifu, mfano...
Elimu ya Kidunia ni tofauti na Elimu ya Mungu, elimu ya Mungu inategemea maandiko na vitabu vya unabii katika kupata maarifa. Hivyo kilichokua kikizungumziwa hapo ni maarifa ambayo watu wanayapata kupitia elimu ya Kidunia na hayawasaidi watu kuutafakari umilele, zaid ni kujikita ktk kuyasaka...
Tatizo lako kaka unachukua neno moja tu na kulitolea ufafanuzi, je anapozungumzia Mwandish? Pia kwa Dunia yaleo ili uwe na Hekima usome kwa leo hakuna mchungungaji alie chini ya 4m4! Naomba unipe tafsir ya Mungu alichokisema hapo kma sivyo bas kubaliana na mimi.
1wakorinto 1-20 Yu wapi mwenye hekima?
Yu wap mwandish?
Yu wapi mleta hoja wa zamani hizi?
Je! Mungu hakuifanya hekima ya Dunia kuwa ni upumbavu? 21 Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waminio kwa upuuzi wa lile neno...
Elimu inayokwambia Mwanadamu alitokana na Nyani sindo hiyo hiyo inaendambali hadi degree? Mimi sijabahatika kusoma sana ila nilifundishwa hvyo maybe nikuulize na kina Daniel walifundishwa hvyo kumkana Mungu?
Ndg mimi nasoma Gombo sio biblia elimu ya Mungu tu ingetosha sana kutufanya kuwa mabwana wa maisha, lkn hii elimu ambayo ni Upuuzi inawafanya watu kuwa wa binafsi na kuwa watumwa wa maisha! Upendo hakuna imebaki kila mmoja kupambana na hali yake. Kma ningekua Muda wa kutosha ni kufunulia vitabu...
Nitamu pia nichungu, ususa uchungu hule alipitia Yesu kwaajir ya dhambi zetu (Ubinafsi na kujiinua) .Yesu alituliza hivi "mwaweza nywea kikombe hiki" Petro akajibu ndio twaweza, na kweli Mitume wote walikinywea, mbna sisi tumeonekana kuwa mbali na hicho kikombe na ndio kipimo thabiti cha kumjua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.