Recent content by kukumsela

  1. kukumsela

    Rasmi: Beki kitasa Abdulrazack Hamza wa Simba Sports Club kukosa Mechi ya Derby ya October 19

    Beki wa kati wa klabu ya Simba SC , Abdulrazack Hamza bado hajafanya mazoezi na klabu yake tangu alipopata majeraha ya njama za paja akiwa timu ya taifa ( Taifa Stars ) Taarifa zinaeleza kuwa hakuna matarajio ya Abdulrazack Hamza kufanya mazoezi na klabu yake hiyo kuelekea mechi dhidi ya Yanga...
  2. kukumsela

    Masoud Masoud, Manju wa muziki ni nani?

    Tatizo sio kustaafu bali mbadala wake ni nani
  3. kukumsela

    Masoud Masoud, Manju wa muziki ni nani?

    Kabisa mkuuu
  4. kukumsela

    Masoud Masoud, Manju wa muziki ni nani?

    Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC. Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla. Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka...
  5. kukumsela

    FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

    Hii sub ni ya kimkatikati vp Pale timu inaposhambuliwa upande wa kushoto anakwepo mwenda na shabalala Lakini kwa upande wa kulia anakwepo kapombe na duchu Safi sana coach Benchika
  6. kukumsela

    Joram Nkumbi huyu dogo ni genius

    Shingap Mkuu?
Back
Top Bottom