Recent content by kuku_msela

  1. kuku_msela

    TULIOWAHI KUPATA MISALA HOME TUKUTANE HAPA.

    Habarini wana jamii forum, kama title inavojieleza. Tukumbushane misala tuliyowahi kuifanya home halafu ikawa noma sana tukatamani mpaka ardhi ipasuke. Binafsi nakumbuka misala miwili Wa kwanza, kuna siku niliazima cd ya porno kwa jamaa yangu, nikategeshea home hamna mtu basi huyo nikakaa zangu...
  2. kuku_msela

    Msaada: Punyeto imefanya niwachukie wanawake

    Wazo zuru mkuu, tatizo je atanielewa, naogopa kumpoteza kiukweli Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kuku_msela

    Msaada: Punyeto imefanya niwachukie wanawake

    Asante boss Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kuku_msela

    Msaada: Punyeto imefanya niwachukie wanawake

    Mkuu naona umeamua kumsaidia Mungu kazi yake, wewe hujawahi tenda uovu wowote tofauti na kujichua?
  5. kuku_msela

    Msaada: Punyeto imefanya niwachukie wanawake

    Habari wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na mihangaiko yenu ya hapa na pale. Naomba niende kwenye mada, Kiukweli mwanzo niliona punyeto kama mkombozi wangu wakati ndio nimeanza kubalehe na kujua kusimamisha, nilipelekwa sekondari za boarding o level na advance...
  6. kuku_msela

    Tabia ya wanawake kuringa na kujisikia

    Ilikua ghafla dada yangu, lakini ukiishi kwa itifaki hizo, utakua sio rafiki wa muda na utakosa vitu vingi
  7. kuku_msela

    Tabia ya wanawake kuringa na kujisikia

    Kweli mkuu upo sahihi lakini hii wao imekua too much kiongozi kwani salama zinawamaliza damu au zinawapa ujauzito?
  8. kuku_msela

    Tabia ya wanawake kuringa na kujisikia

    Mkuu umeongea point kweli umenifumbua fikra kumbe sio makosa yao lakini mbona wanaume sisi hatupo hivyo au sisi hatuna stress na hatutumbuliwi?
  9. kuku_msela

    Tabia ya wanawake kuringa na kujisikia

    Hi tabia inakera sana, wanawake jaribuni kubadilika, mtu hata hakutaki wala hana wazo la kukutongoza lakini akikusemesha kidogo tu, utadhani amekutongoza miaka mitatu mfululizo, majuzi nimepoteza direction mahala flani, nikamuona dada mmoja nikamfuata kistarabu, nikamsalimu na kumuuliza, bora...
  10. kuku_msela

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Samahani eti sa hivi saa ngapi wakuu?
Back
Top Bottom