Wewe mleta uzi unaonesha Lumumba imekudhoofisha kifikra sasa kwa taarifa yako,mtaa mmoja walio shinda ukawa una wakazi wasiopungua4000,na kijiji kimoja walicho shinda ccm kina wakazi 140,sasa jitahidi kushirikisha ubongo unapo ongea hayo
Hongereni kwa kazi nzuri lakini kuna tatizo limenipata leo tarehe 9/9/2015,saa 9:55 jioni hii tawi la NMB,MBALIZI ROAD,MBEYA nimetoa pesa Tshs,400,000.mashine imehesabu lakini haijatoa pesa nimeingia ndani kuomba msahada na wamenipa form niijaze na wakanitaka copy ya ATM card yangu sasa nimetoka...
Hakuna TAHIRISO inaweza kufanya upumbavu kama huo japo najua ccm wangetamani iwe ivo lakini tambieni kuwa wanachuo watamliza Magufuli mwaka huu usipime maana tuna uchungu na manyanyaso tuliyo yapata kwa muda mrefu na ccm,tusubiri October
Uyo mama aliye shikishwa bango unaweza ukaona physical appearence yake hakuwa yeye yaani kapewa gauni hilo jipya na chini ya usimizi wa uyo kijana apo nyuma yake kuwa ashike ilo bango jamani ccm muwahurumie hawa bibi zetu mnawatesa jamani
Gaselle,kwani unaweza ukafananisha Kingwendu na Asumta Mshana?kwa ability ya ku synchronize matters?tuwe wakweli Kingwendu anaweza pia jengeni Imani na maoni ya wananchi na si kuona nyie pekee ndiyo mnajua zaidi.
Jingalao wewe jitahidi kuwa na hoja zenye minofu unaposema dar kuna watu wangapi unashangaza sana kinachozungumziwa hapo na mleta uzi ni Issue of specificity,yaani eneo husika katika uwanja wa Taifa na siyo Dar nzima,sasa kama umeshindwa kutambua hilo basi napatwa na wasiwasi kuwa nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.