Recent content by Kuboma

  1. K

    Kuanzia mitaani, makazini, makanisani, misikitini, vyuoni, kama wewe ni Mtanganyika wajibu wako kuikomboa nchi

    Na hawa wa Pemba walioko mitaani,maofisini na vyuoni wasijione wako salama kwa yaliyotokea maana tuna uchugu nao kwa lililofanya jeshi la Kmkm kwa amri ya Abduli nao ni mda tu tutadili nao
  2. K

    Kuanzia mitaani, makazini, makanisani, misikitini, vyuoni, kama wewe ni Mtanganyika wajibu wako kuikomboa nchi

    Tunataka tuwafurushe Abdul na Mama yake,bila kumsahau Hamza johari aliyeuza rasilimari zetu ,mnajimu wa jeshi,mtuachie Tanganyika yetu hao wengine viongozi wa Tanzania tutadili nao baada ya kupata uhuru
  3. K

    Kuanzia mitaani, makazini, makanisani, misikitini, vyuoni, kama wewe ni Mtanganyika wajibu wako kuikomboa nchi

    Kukujibu mtu kama wewe ni kujipunguzia hekima zangu,ila Dunia ndiyo itakayokujibu
  4. K

    Kuanzia mitaani, makazini, makanisani, misikitini, vyuoni, kama wewe ni Mtanganyika wajibu wako kuikomboa nchi

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kama wewe ni Mtanganyika ni wajibu wako kuikomboa inchi yako, hata kama chawa, haya unayoyaona utakuja kuyalipia baada ya Tanganyika kukombolewa, maana saa hizi tunatawalia na familia ya Samia Suluhu na baadhi ya Viongozi walioko Serikalini wakiongozwa na...
  5. K

    Kama Ikulu, Polisi na Idara zote za Serikali zinafunga “comments”, basi Umma umeshinda

    Ninavyoona kuna magenge ya uhalifu yalingizwa inchini kuja kusaidiana kuuwa raia siyo bure
  6. K

    Abdul Ameir anawasalimia

    Huyu ni zaidi ya watoto wote wa Marais Duniani
  7. K

    Sababu ya polisi wastaafu wawili kuuawa Kinyerezi, wauaji wote walikuwa wazanzibari. Kwenye clip kuna mwarabu

    Tuache kulalamika inatubidi sasa kuikomboa Tanganyika yetu tena kuanzia kule Mbeya na tulia Aksoni naamini tukiungana wote kisawasawa huyu Mama hatoboi,kuliko kusubiria mpaka afe
  8. K

    PostGE2025 Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche azidiwa, akimbizwa hosptali ya taifa ya Muhimbili

    Ingawa walimkata akiwa na afya nzuri kabisa,hawa ndiyo wangekuwa Viongozi wetu lakini wanaishia kuwekwa mahabusu huku mama Abdul na mwanaye wanaouza inchi wakiwa ikulu kwa wizi wa kula
  9. K

    Why Samia Anaiogopa Ikulu ya Dar?, je ndo rasmi Serikali imehamia Dodoma

    Kwa aliyoyafanya Dar hayuko salama
  10. K

    GE2025 Video: Polisi wakifuata vijana wa kiume majumbani huko Mara

    Kama wewe ni mzanzibar hongera lakini kama wewe ni mtu wa bara pole sana maana yake unatumika bila kujijua
  11. K

    GE2025 Jinsi serikali ya CCM ilivyokataliwa ndani na nje ya Tanzani mpaka aibu

    Yaani sijui CCM ilijiamini vipi kufanya hayo iliyofanya, maana imejichafulia ndani ya inchi mpaka nje, hata yale yaliyokuwa yamefunikwa huko nyuma hatimaye yametoka hadharani. Lakini ukiangalia kwa jicho la kawaida inaonekana kama yalikuwa maamuzi ya mtu mmoja mwenye ndiye aliyeyapanga haya...
  12. K

    Watanzania wenzangu hii ishu ilipangwa ikapangika

    Yaani inasikitisha sana,hivi Magufuli angekuwepo angeruhusu huu ujinga Sijui kikweta huko aliko naona amefurahi
Back
Top Bottom