Mie nilikwenda leo kumsalimia shemeji yangu yupo mahabusu gereza la butimba,mwaka sasa,si sehemu nzuri,nimeshinda na huzuni siku nzima.Mungu atuepushie.
Habari ndugu zangu?,
Naomba mnisaidie ushauri maana nina jambo gumu hapa. Mimi ni mtumishi, nilipata shida ya kifedha nikamtafuta mdada mmoja akaniazimia pesa kwa mtu laki mbili na nusu, nilitakiwa kurudisha kwa riba.
Nilimrudisha riba mara mbili baada ya hapo mambo yakagoma kabisa, yule Dada...
Haisumbui hata,peleka barua kwa dean of faculty ya kuomba ku carry over course zako,then atakupa barua uende kwa It ili akurudishe kwenye system afu unaenda kulipia,hapo ndo unakua rasmi,tena komaa umalize hivyo vimeo this year ukichelewa results zinafutwa zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.