Recent content by KuaKifikra

  1. KuaKifikra

    Gesi na Mafuta sio swala la muungano tena

    Kuna vitu ukiviondoa kwenye list ya mambo ya muungano, huu muungano unakuwa either unapoteza taswira yake halisi au unageuka kutu na kuanza kula upande mmoja. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. KuaKifikra

    You still young (18-30) ungana na mimi right now

    But we are motivated Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  3. KuaKifikra

    Tuliowahi kukopa pesa kuanzisha biashara kisha biashara ikafa tukutane tujadili machungu

    Yani nimeshindwa kuelewa unalenga nini, inavyoonekana huna subira kabisa na unaamini biashara lazima iwe na mtaji mkubwa ndo iitwe biashara, mimi nipo tofauti kidogo na wewe. Biashara inahitaji soko, ninaweza kuwa na bidhaa zenye thamani ya mil 1 na zikawa zinaenda harakaharaka na unaweza kuwa...
  4. KuaKifikra

    Tuliowahi kukopa pesa kuanzisha biashara kisha biashara ikafa tukutane tujadili machungu

    Mzee sikubali, nimemaliza chuo mwaka jana, sikuangaika kusaka ajira. Nilikua na million 2 mfukoni nikaanzisha ka duka kangu. Nilichokifanya ni kujibana katika plan yaangu. Laki moja bakara tena moja la kuanzia, laki mbili nikanunua til za mpesa na airtel money, elfu arobaini na tano kodi miezi...
  5. KuaKifikra

    Inahitajika kuwa na machine ya EFD kwa biashara duka la rejareja na jumla la bidhaa muhimu?

    Ndiyo, inahitajika. Ila hapa kuna mawili, moja ni kama leseni yako ni ya whole sales lazima uwe nayo ila kama ulikata ya retail alafu unauza na jumla(ambayo pia ni makosa kisheria na ni uhujumu uchumi) hauwezi kuwa nayo. In short, kama unahitaji kuwa salama ni vema ukauza kulingana na matakwa ya...
  6. KuaKifikra

    Nataka kufungua biashara ya duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani

    Siyo lazima iwe 70, kuna categories katika utoaji wa leseni, inaweza kuwa hata chini ya hapo!
  7. KuaKifikra

    Taratibu za kuonana na viongozi wakubwa Serikalini

    Mimi pia nasubiria jibu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom