Recent content by Ksuley1411

  1. K

    Historia ina kawaida ya kujirudia kama hujui Zitto.

    Mkuu Umenena Vyema!! Tuombe UZIMA Na SALAMA Tu!! Mbona Hilo Liko Wazi!!! Hata Kama Tutakuwa Na TUME Huru 2020!! Wao Wanadhani CCM Ni MARAFIKI ZAO!!
  2. K

    Majigambo ya Mtoto wa Rais na 'Precedents' za Viongozi Watangulizi

    Haya Bhana!! WATANZANIA Now Twatukanwa Na Hata Mahouseboy /Girl Wa Viongozi Wa Nchi Hii!!! Ila Hatuna Kilicho Na Mwanzo Kikakosa Mwisho!! Reference Zanzibar Now, Mwisho UMEFIKA!!!
  3. K

    Kama wewe unaitwa Janeti njoo tuanze maisha

    Tehe! Tehe! Tehe!! Nooomaaa!!
  4. K

    Kilichotokea kati ya NEC NA ZEC...

    Mkuu Wa Shule Amefuta Matokeo Ya MTIHANI Kwa Vile Mtt Wake Amefeli MTIHANI!!! Baada KUSHINDWA Kumpatia Mtt Wake MAJIBU Au Nafasi Ya Kupiga Chabo!! SWALI Je, Ingekuwa Amefeli Mwanafunzi MWINGINE Kati Ya WALIOFANYA MTIHANI Na Mtt Wa Mkuu Wa Shule, Angeamuru MATOKEO Ya MTIHANI Yafutwe!!!!??? Somo...
  5. K

    Ili kuondoa utata Zanzibar, bora kupiga kura upya

    ACHENI Ushoga Humu!! Kwani Sheria Ya ZEC Na KATIBA Ya Zanzibar Ya 1984!! Ndio Zinavyosema Kuwa MGOMBEA Akijitangaza Ameshinda UCHAGUZI, Basi ZEC Ni Kufuta MATOKEO Ya UCHAGUZI!!!!!?? KAMA Sheria Za UCHAGUZI, ZEC Na KATIBA INATAMKA HIVYO, Mtuambie Ni Vifungu Vipi!!!!?? KAMA Hicho Hakipo, Basi...
  6. K

    Ili kuondoa utata Zanzibar, bora kupiga kura upya

    Mkuu Wa Shule Hawezi Kufuta MATOKEO Ya MTIHANI Ambao Umeshafanyika, Umeshasahihishwa, MATOKEO Yamebandikwa Notice Board Na Msimamizi Wa MTIHANI Ameshatangaza Karibia 54% Ya MATOKEO Hayo!!! Eti Mkuu Wa Shule Aje Kuamuru MATOKEO YOTE Yafutwe, Kisa Mtt Wake Amefeli, Na KUTAKA MTIHANI Ufanywe...
  7. K

    Ili kuondoa utata Zanzibar, bora kupiga kura upya

    Kituo Cha Kuipigia Hizo KURA Kiwe Pale Kisiwa Ndui Na Usimamiwe Na Kificho!!!! PUMBAVUU! ETI Kwa Vile Mtt Wa Mkuu Wa Shule Amefeli MTIHANI, Basi Mkuu Wa Shule Afute MATOKEO Ya MTIHANI HUO Na Aje Kulazimisha MTIHANI Ufanyike Upya!!!??? Hata Kama Aliona Mtt Wake AMESHINDWA Kupiga Chabo Na Kumpatia...
  8. K

    Njia Panda; Kataa ya Jecha CCM out SMZ, Kubali ya Jecha Uchaguzi Rais JMT Unakosa Uhalali Unarudiwa

    Ndio Mmeanza Propaganda Zenu Mlizozitumia Huku Tanganyika Na Sasa Mnajaribu Kuzipeleka Zenji!! Kama Hicho Mnachosema Ni UKWELI, Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama, Vile Vile Ambavyo Uwa Vinawalinda Viongozi Wenu Pindi Wakitangazwa Washindi Hata Waliposhindwa!!! Eti Leo Ndio KUMEKUWA Na Tishio La...
  9. K

    Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

    Hivi Hayo Maneno Ya Uchochezi Na Chuki Kiasi Hiki Yanatoka Wapi!!?? Jmn Kuna Maisha Yanaendelea Baada Ya CHAGUZI!! Maalim Kama Ameshinda Apewe KITI CHAKE, Kama Ilivyokuwa Kwa Magufuli!! Historia Ya CHAGUZI Za Miaka Ya Huko Nyuma Watanganyika Na Wazanzibar Wanaijua Vizuri Saana!!!
  10. K

    Magufuli anza na Mikataba ya Gas, Madini, IPTL, SYMBION, ESCROW, Lake Oil, Lake Gas..

    Tatizo Like Wameondoa!! Ila KAMATA Like Ya NGUVU!!!
  11. K

    Tatizo sio Magufuli kuwa Rais, ni CCM kupata zaidi ya wabunge 217 out of 264

    Sijui Ni Uwezo Wangu Wa KUELEWA Umeisha!! Au Nini!! SIJAKUSOMA Kabisaa!! Mara Unaingia Ktk. Jakuzi Unaoga Mara Unaingia Ktk. Ghala La Saruji!!! Mara Unarudi Ktk Jakuzi Tena!! HIVI Kama Dkt. Slaa Na Prof. Lipumba Wasingekuwepo Au Wamekufa, Na CHAMA Au VYAMA Vingekuwa VIMEKUFA!!!!? Kwani Kabla Ya...
  12. K

    Tatizo sio Magufuli kuwa Rais, ni CCM kupata zaidi ya wabunge 217 out of 264

    Kwani Kabla Ya Uchaguzi Upinzani Walikuwa Na Wabunge Wangapi BUNGENI!!!!!?? Wabunge Wenyewe Ndio Hawa Wa Aina Ya Huyu Wa Mbagala!! Ambaye Badala Ya KUTANGAZWA Na Msimamizi Wa UCHAGUZI, Kilichotokea Ni Kubandikwa MATOKEO Ubaoni Usiku!!!!! Wako WENGI Wa MAGUMASHI Tu!!!!!
  13. K

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    ACHENI UJUHA!! Si Alikuwa MWANACHAMA Wa CCM Huyo!!?? Je, ALIPOKUWA Ndani Ya CCM Alikuwa Hawamjui Au Hawamuoni?? Kwanza Kwa KUWAAMBIA WATANZANIA Wanataka KATIBA MPYA Iliyotokana Na MAONI Ya WANANCHI!!! Nani Anayeukubali Msamiati Ndani Ya CCM!!??
  14. K

    Magufuli anza na Mikataba ya Gas, Madini, IPTL, SYMBION, ESCROW, Lake Oil, Lake Gas..

    Mkumbusheni Na Ufisadi Wa Mv Dar Billion 8 Na MELI Yetu Ilikofichwa Irejeshwe!!! Ahaa!! Na MEREMETA, DEEP GREEN, RICHMOND Na ATCL!!!
  15. K

    Wazanzibari wamuadhibu Seif kwa kushirikiana na Lowassa

    Napata Shida Kumuelewa Huyu Dada!! Maana Akili Zake Zimeoza Kabisaa!!!! Eti Wazanzibar Wamemuadhibu!!! Hivi Ww Ni Mtanzania Gani Ambaye Hajui Kilichotokea Zenji!!!!?? UCHAGUZI Umefanyika, Kura Zimehesabiwa Na Majumuisho Na Kubandikwa VITUONI Na KUTANGAZWA Tena Majimbo 31 Kati Ya Majimbo 54...
Back
Top Bottom