Recent content by Kowi mmanda

  1. K

    Msaada:APPLICATION ya Chuo kwa mtu aliye disco chuo au aliyesimama masomo.

    aombe tcu kama wengine na mkopo kama wengine kwa yeyote aliedsco na alieacha chuo ila kama alikula mkopo ajiandae kurudisha asilimia 25 na exprnc hyo ni mhanga wa jambo hlo na sasa nipo chuon naendelea na xul
  2. K

    Bodi ya mikopo

    kama ulichofanya mwanzo na malipo yaleyale kinachoongezwa na admission letter tu
  3. K

    Nchimbi: Kambi ya upinzani ni waongo na ni wazushi

    spika ameminya mwongozo
  4. K

    Bungeni: JJ Mnyika azidi kuonyesha udhaifu wa Serikali ya CCM

    (mjukuu wake aliyemzaa juzijuzi ) amezaa mjukuu ni jina au ndugu magamba
  5. K

    Migomo vyuo vya elimu ya juu.

    migomo vyuon kwa asilimia kubwa husababishwa na mikopo japokuwa cyo yote lkn kwa chuo kama mzumbe ambacho mm binafs nakielewa asilimia kubwa ya wanafunz wanajripia ikiwa pamoja na kuwa weng wao wapo in servc so migomo hutokea lkn kwa kiwango kidogo sana
  6. K

    Msaada jamani : Kwa wale waliohitimu kidato cha 6 kuanzia mwaka 2012 kurudi nyuma.

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UENDESHWAJI WA UDAHILI - ELIMU YA JUU KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 UTANGULIZI Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (‘Tanzania Commission for Universities’-TCU) ikishirikiana na Baraza laTaifa la Elimu ya Ufundi (‘National Council for Technical Education’ - NACTE) pamoja...
  7. K

    Msaada wa haraka kuhusu uombaji wa vyuo vikuu

    hahahaha watoto wa fb hawa tabu tupu hoja ya mcng namshaur mhucka arejee kwenye guide book ya tcu
  8. K

    CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

    tutakifuta kabisa kicweze kutuharibia kizaz hik
  9. K

    mmh!! DUCE kama clinic

    hamna cha ajab hapo kila mtu na maamuz yke
Back
Top Bottom