aombe tcu kama wengine na mkopo kama wengine kwa yeyote aliedsco na alieacha chuo ila kama alikula mkopo ajiandae kurudisha asilimia 25 na exprnc hyo ni mhanga wa jambo hlo na sasa nipo chuon naendelea na xul
migomo vyuon kwa asilimia kubwa husababishwa na mikopo japokuwa cyo yote lkn kwa chuo kama mzumbe ambacho mm binafs nakielewa asilimia kubwa ya wanafunz wanajripia ikiwa pamoja na kuwa weng wao wapo in servc so migomo hutokea lkn kwa kiwango kidogo sana
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU
UENDESHWAJI WA UDAHILI - ELIMU YA
JUU KWA MWAKA WA MASOMO
2012/2013
UTANGULIZI
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (Tanzania
Commission for Universities-TCU)
ikishirikiana na Baraza laTaifa la Elimu ya
Ufundi (National Council for Technical
Education - NACTE) pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.