Recent content by koro-boy

  1. K

    Tunatakiwa tusimame pamoja wananchi wote Tanzania bara kuirudisha Tanganyika

    My worry kubwa ni muungano utatetereka sana. Unless wanganganie madarakani na kuichukua nchi milele na kuigeuza nchi hii iwe ya kiislam. Hiki kilichotokea kikiishia tu kilivyo why not taking the reign moja kwa moja na kurudusha Ufalme.
  2. K

    Kwanini kila dhuluma dhidi ya watanganyika inasimamiwa na watawala wageni?

    Kosa kubwa ni kutawaliwa na katiba mbovu tangu mwanzo wakati wa Nyerere. Tumejenga vizazi vya waoga hata Nyerere alisema kabla hajaondoka na kusema hakutarajia kutengeneza Taifa la watu waoga, na bado akaacha katiba mbovu ambayo kimsingi ipo hadi leo all power is vested on one human being the...
  3. K

    Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

    Nyerere alikwisha liona hilo, they not easy to coexist with Tanganyikans. Most of then dream to be under their former Arab masters.
  4. K

    Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

    Nachokiona mimi ni kuwa Watakaovunja muungani ni Wazanzibar wenyeee kwa kuwa very selfish.
  5. K

    Polepole: Rostam Aziz ndiye anayeendesha biashara ya uchimbaji na usafirishaji wa makaa ya mawe

    Makaa ya nawe sawa, Uranium Nina Shaka kubwa kwani hii ni radio active material can not be transported by open trucks. Anyway labda mmeyaona barabarani.
  6. K

    Polepole: Rostam Aziz ndiye anayeendesha biashara ya uchimbaji na usafirishaji wa makaa ya mawe

    Chama tena kuingia kwenye biashara hii imekaaje hii. It should stay away from politics
  7. K

    Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

    The trend shows, all previous PMs could not manage to score enough to win the candidature for the Presidency, which has been a trend. Why? PM carries all the unpopular things to be practiced in the community. Even the current has done and victimised a lot of people, especially those working in...
  8. K

    Viongozi Wastaafu, Mfateni Rais Samia na Msaidieni Kuituliza Nchi. Mambo Yamekuwa mambo huko ulimwenguni

    Hawasikilizwi wanaongea kila siku. Let us go this way, it will be a lesson for new generations not us. We have failed, the first President left us this dictatorship constitution and no one will change it once in power.
  9. K

    Maneno ya Jaji Mkuu wa India juu ya Katiba na Mihimili 3 ya nchi. IPO kwa KiingerezaConstitution is supreme, not us': CJI Gavai urges harmony between

    Here in Tanzania Constitution is just a book. We rather respect the religious books than Constitution.
  10. K

    Tanzania opposition laments its ‘naivety’ over president as repression intensifies

    Well written report. Suppression methods used by Gov. Is very dangerous; abduction and killing the opposition is not good. That shows all promise of reform from Gov is just false,
  11. K

    Africa Uncovered: The systematic suppression of opposition voices to avoid election defeat in Tanzania?

    Well written she going by play book but add new dynamics in the equation of power. Dividing the Country into religious power struggles and selling critical infrastructures on the same line.
  12. K

    Viongozi Wastaafu, Mfateni Rais Samia na Msaidieni Kuituliza Nchi. Mambo Yamekuwa mambo huko ulimwenguni

    Hoja inamashiko, ila kwa jinsi nchi inavyokwenda hakuna Anaetaka hili. Na wananchi wamezidi kuijua serijaki yao vizuri zaidi na mstaksbali wa nchi unajichora vema kabisa. Majuto ni mjukuu.
  13. K

    Nyota Mpya ya Tanzania: Rais Samia Hassan aongoza Mageuzi ya Kiuchumi

    Tangu Regime iliyopita tumekuwa na propaganda nyingi sana za uongo na uzandiki sana. Kusifia kusiko na evidence zozote bali exaggerated figures. Serikali usiyoogopa tena wananchi.
  14. K

    Mbunge wa Kenya Babu Owino ataka Rais Samia apigwe marufuku ya kuingia Kenya kwa udhalilishaji

    Duu hii mpya kabisa, ni nini kitakachofanya tutu je uhusiano na nchi jirani mimi bado sijaona sababu ya msingi.
Back
Top Bottom