Huu mjadala wenu umenikumbusha ex wangu mmoja, tuliachana na hatukuonana kama miezi 5, paaap tulikuja kukutana kkoo hakuna aliyeweza kuvunga kumchangamkia mwenzake, hapo hapo tukaanza kusaidia shopping .... kuna mda tupo duka moja nikajikuta "daah naona tunapoteza tu muda bora tungeenda zetu...
Mlambe kibao kimoja wakati hamna anayekuona, yaani kile cha hakika kabisa. Baada ya hapo kausha tu kama kataendelea na mazoea tena. hata kakitumwa kakuulize swali la kichokozi na mamake (mwulize anko unaondoka lini) akikuangalia tu mkagonganisha macho anakimbilia ndani huko bila kusema kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.