Tatizo la watanzania wenzangu tunafuata upepo pasipo hata kuangalia jambo kwa kina sana. Napenda kusema kuwa tuipende nchi yetu kwa dhati na si vyama. Tunapaswa kujua kuwa vyama vinaweza kufa ila Tanzania itabaki na sisi tutabaki kuwa watanzania na si vinginevyo. Dalili ya chama kuongoza vibaya...
Ni dhahiri kuwa maamuzi ya mtu hutegemea na mtazamo alionao na hisia juu ya jambo analotaka kulifanyia maamuzi. Kimsingi Dr. Slaa ni mtu mwenye hisia za ndani na dhamiri inayoonyesha kuwa na mapenzi mema na watanzania tangu uongozi wake wa kuwa mbunge Karatu hadi sasa. Wengi mnakumbuka kuwa...
Lengo la Chadema ni kushinda bila kujali ushindi huo unaweza kuwa kikwazo na matusi mbele ya safari. Tukumbuke kuwa mpira ni dk 90 endapo ushindi usipo patikana ni dhahiri Chadema kama chama kikuu pinzani kitakosa hoja nzito ndani ya bunge na hivyo kuua upinzani wa kweli. Lazima tukumbuke kuwa...
Yule aliyeajiriwa angependa awe huru na yule aliyejiajiri angependa kuajiriwa. Ndugu zangu Tanzania zipo fursa nyingi sana ingawa kuna siasa ktk kila sekta ya uchumi hapa Bongo. Mfano unahitaji kuwa upande fulani ili kufanya biashara zako kubwa vinginevyo unaweza kuona unaanguka wakati wowote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.