Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo CHADEMA Makao Makuu Mhe. Bensoni Kigaila akiitaka Serikali kuwachukulia hatua wale wote waliopewa mgao wa ESCROW wafikishwe Mahakamani kusomewa hukumu zao.
DC wa Halmashauri ya Kinondoni atumwa kutoa agizo Mhe Mdee akamatwe na Jeshi la Polisi, Awekwe ndani kwa Masaa 48, Ahojiwe na afikishwe katika vyombo vya Kisheria.
Utawala wa Kimabavu at work.
Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Lindi Mhe Latipha Chande, Akiwajibika, Hapo tuu ndipo ninapowapenda wabunge wa CHADEMA, wanajua kutimiza majukumu yao kwa wananchi.
Mungu akuzidishie moyo huo mbunge wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.