Usisahau ndugu zako ulikotoka nao wapo bize kukudungunyua kibakubaku tena kwa wivu mkubwa kwamba kwanini umetoboa (kwa mtazamo wao).
Kuna jamaa yangu alienda kuzuru makaburi ya wahenga akakutana na shangazi yake akaombwa buku ya soda akatoa kilichomkuta Mungu ni shahidi, bibie yule alienda...
Mleta mada umetumwa ili tuone bodaboda ni ajira ushindwe na ulegee, yaani unasifia kazi hiyo ili vijana a.k.a GenZee wasiwaze kuhusu ajira umeshashindwa nakwambia, tangu tz iumbwe na mungu hakuna kazi iliyozalisha marehemu na walemavu kama bodaboda.
Umekaririshwa upuuzi huko unataka kuwapakaza na wengine huo upuuzi!
Sasa kwa taarifa yako kila mtu aendelee kuamini matango pori yake bila kujali yameletwa na harabu harabu au wazungu au maponjoro au singasinga n.k.
Kwa kukuongezea tu hakuna jamii iliyo acha uchawi kwa poroja za wazungu au...
Mleta mada kule visiwani machoko wapo kuanzia chekechea hadi chuo kikuu vp umetumwa na wazee wa kijani watu wasipeleke watoto wao kusoma abroad ili kupunguza wasomi wanaojitambua au?
Hawa machoko akina anti abuu, anti juma, mudi etc nao walisoma chuo gani huko kanada?
Kwa pesa alizotishiwa nazo angekuwa kabila fulani (wafia pesa) sijui kama tungepona lakini wahaya kwa hulka yao ya kujithamini na kujiamini (ingawa si wote) kwakweli akina NSHOMILE ni kati ya watu wanaojiamini sana akiamua lake unaweza ishia kuduwaa
Polepole ana asili ya upinzani Nchimbi ni wa kijani hadi damu yake! Na ukitaka kujua amesema "Hata Rais Samia anaitaka katiba" lakini anasema tuipiganie, na wanaoipigania au walijaribu kufanya hivyo wengine wanatembea na risasi kwenye miili yao, wengine wapo jela, wengine wameshabatizwa kuwa...
Najua hoja hii hata kama ingekukuta chooni unakata kuni lazima ungeacha na kutoka mkuku mkuku kuikoa matonge yako maana akiongezeka mwenezi mwingine akasema hivi utajikuta unaajiriwa na mwashambwa kukoroga tope la kupandikiza mpunga
Kwa hiyo ULIZAA MWENYEWE NJE mtoto alipopatikana ndo ukakumbuka sharia na hukumpa mtoto jina lako ila wakati unadumbukiza hukumkumbuka mungu halafu upuuzi kama huu uloufanya unauleta humu na unajisikia fahari! Hakika kumbe akili zenu zafanana.
Kuna jirani yangu alimkataa mtoto wake kisa kazaliwa...
Kwahiyo sisi tukichanga tone tone kumchangia LISSU akala minyama apendavyo wewe unakuwa unawashwa sehemu gani ya huo mwili tukusaidie kukuna? Hao waliowageuza kuwa misukule mbona karibu wote wana mahekalu huko duniani hilo hulioni? Dume zima unakubali kugezwa chawa ukipewa buku 2 unacheka cheka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.