Recent content by konyola

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ukiwa mtumishi wa umma maisha yako yapo hatarini kwa ushirikina masaa 24 siku 365.

    Usisahau ndugu zako ulikotoka nao wapo bize kukudungunyua kibakubaku tena kwa wivu mkubwa kwamba kwanini umetoboa (kwa mtazamo wao). Kuna jamaa yangu alienda kuzuru makaburi ya wahenga akakutana na shangazi yake akaombwa buku ya soda akatoa kilichomkuta Mungu ni shahidi, bibie yule alienda...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Usimwambie tafadhari usije leta shida kwenye ndoa ya mama yako
  3. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna kikundi kinachopiga hela za kutosha kama bodaboda, ni basi tu wengi wao ni vijana wadogo wanaondekeza starehe

    Mleta mada umetumwa ili tuone bodaboda ni ajira ushindwe na ulegee, yaani unasifia kazi hiyo ili vijana a.k.a GenZee wasiwaze kuhusu ajira umeshashindwa nakwambia, tangu tz iumbwe na mungu hakuna kazi iliyozalisha marehemu na walemavu kama bodaboda.
  4. K

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Umekaririshwa upuuzi huko unataka kuwapakaza na wengine huo upuuzi! Sasa kwa taarifa yako kila mtu aendelee kuamini matango pori yake bila kujali yameletwa na harabu harabu au wazungu au maponjoro au singasinga n.k. Kwa kukuongezea tu hakuna jamii iliyo acha uchawi kwa poroja za wazungu au...
  5. K

    JamiiForums Tanzania "Asilimia kubwa ya vijana kutoka Tanzania na Afrika nzima ujumla wanaoletwa na wazazi kusoma Marekani na Canada wamegeuka kuwa machoko ".. Elli David

    Mleta mada kule visiwani machoko wapo kuanzia chekechea hadi chuo kikuu vp umetumwa na wazee wa kijani watu wasipeleke watoto wao kusoma abroad ili kupunguza wasomi wanaojitambua au? Hawa machoko akina anti abuu, anti juma, mudi etc nao walisoma chuo gani huko kanada?
  6. K

    JamiiForums Tanzania THE GOAT WHO STOOD FIRM: Nguvu ya Simba, Ukaidi wa Mbuzi

    Kwa pesa alizotishiwa nazo angekuwa kabila fulani (wafia pesa) sijui kama tungepona lakini wahaya kwa hulka yao ya kujithamini na kujiamini (ingawa si wote) kwakweli akina NSHOMILE ni kati ya watu wanaojiamini sana akiamua lake unaweza ishia kuduwaa
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi:-Endapo kama wewe upo fb na uliwahi kutoa maneno ya kichochezi jiandae!

    Mbona huu mzigo unaonekana mpya unatoka moshi au ni wewe mwenyewe umeudondosha
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: anatuona sisi ni majuha au hamnazo? Chonde chonde Wapigania haki msitegwe na hadaa zake. CCM haina nia njema

    Polepole ana asili ya upinzani Nchimbi ni wa kijani hadi damu yake! Na ukitaka kujua amesema "Hata Rais Samia anaitaka katiba" lakini anasema tuipiganie, na wanaoipigania au walijaribu kufanya hivyo wengine wanatembea na risasi kwenye miili yao, wengine wapo jela, wengine wameshabatizwa kuwa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sitasahau nilivyopata demu mbunge maisha yanapita wakuu

    Huyo ni Beki tatu wa Mbunge na kama ni mbunge kweli inawezekama sisi ni mizoga
  10. K

    JamiiForums Tanzania Katambi alisema wakutane mahakamani, wameenda, leo anasema ni wapinga maendeleo

    Weraweraaa watu wa jf mnanipa raha jamani hivi kumbe kuna kasongo born town na mwingine ni Mapung'o?
  11. K

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yaja na operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania ni Sisi", yazindua mchango kwa wanachama

    Nawapa tahadhari kuna aliyetaka kuisanbaratisha cdm akaishia kukumbana na MCHWA
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mwenezi CCM Arusha: Uchawa ni tatizo kwenye taifa. Ukosoaji unakuwa kama vile ni haramu

    Najua hoja hii hata kama ingekukuta chooni unakata kuni lazima ungeacha na kutoka mkuku mkuku kuikoa matonge yako maana akiongezeka mwenezi mwingine akasema hivi utajikuta unaajiriwa na mwashambwa kukoroga tope la kupandikiza mpunga
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Yaweza kuwa ana jini mahaba linammaliza kila kitu alikuwapo ndugu yangu mkewe alikuwa hivyo lakini akatibiwa sasa hivi yupo sawa
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Kwa hiyo ULIZAA MWENYEWE NJE mtoto alipopatikana ndo ukakumbuka sharia na hukumpa mtoto jina lako ila wakati unadumbukiza hukumkumbuka mungu halafu upuuzi kama huu uloufanya unauleta humu na unajisikia fahari! Hakika kumbe akili zenu zafanana. Kuna jirani yangu alimkataa mtoto wake kisa kazaliwa...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Katambi: Wapinga Maendeleo wananitishia kuniburuza Mahakamani, kuna Mzee anaenda kunishtaki

    Kwahiyo sisi tukichanga tone tone kumchangia LISSU akala minyama apendavyo wewe unakuwa unawashwa sehemu gani ya huo mwili tukusaidie kukuna? Hao waliowageuza kuwa misukule mbona karibu wote wana mahekalu huko duniani hilo hulioni? Dume zima unakubali kugezwa chawa ukipewa buku 2 unacheka cheka...
Back
Top Bottom