Ndugu yangu pole sana kwa yaliyokukuta zaidi zidisha maombi kwani kama ni MUNGU ndiye aliyekupa atakuonyesha njia sahihi ya kukabiliana nahilo tatizo. Ushauri wa mwanadamu unaweza kuangalia upande mmoja lakini ukiomba kwa Mungu atakupa ulio bora na wa busara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.