Hii ni kwel mkuu Mimi nimewapa wengi namba ya bibi wa dawa ya vidonda vya tumbo na matatizo ya kupata Mimba ajabu hawalet mrejesho hatakusema thanks jamani duh
Hii ni kwel mkuu Mimi nimewapa wengi namba ya bibi wa dawa ya vidonda vya tumbo na matatizo ya kupata Mimba ajabu hawalet mrejesho hatakusema thanks jamani duh
Wakuu sio kweli Mimi niko kitopeni Kwa Mashaka kilichotokea ni kwamba shukuru kawambwa anatetea maslahi ya wengi hapa kitopeni yameanzishwa machimbo ya mchanga kilometer mbili kutoka stand kuu ya bagamoyo na Mita mia tatu kutoka bagamoyo road kama unaitazama kesho unaona kabisa shukuru kawambwa...
Mkuu ni kweli tukio lililotokea limetushangaza sana wakazi wa kitopeni Kwa Mashaka huyu diwani ametukosea sana wananchi pamoja na wazee wetu Mimi binafsi nilikuepo kwenye kikao Cha uamuzi wa kufunga barabara ila kilichotokea Diwan aligushi mutsari na Saini za wanakijiji kuhalalisha machimbo...
Habari wakuu
Mimi ni mkazi wa maeneo ya kitopeni Kwa Mashaka siishi huku ila hua ninakija mara Kwa mara kuwatembelea wazee wangu hii ishu ni kweli imetoke ila kinaendealea ni kwamba aliemzalilisha mstafuu ndio hao hao waliorecodi video na pia alichokua anakifanya mbunge mstaafu ni kitendo Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.