Recent content by konda msafi

  1. konda msafi

    Ukiwa na rafiki Msauzi labda akuzidi kipato, awe bosi, au kuna michongo bila wewe haitiki, Nje ya hapo kaa chonjo, kupigwa shaba na kuvamiwa kawaida

    Kuna mhuni alinifuata kuniuzia bunduki kama vile anauza simu ya wizi. Nilikuwa zangu saluni nanyoa, jamaa akafunua shati lake alikuwa ameichomeka kiunoni akanionyesha, akaniambia anaiuza. Nikamjibu sihitaji, akasepa zake
  2. konda msafi

    Ukiwa na rafiki Msauzi labda akuzidi kipato, awe bosi, au kuna michongo bila wewe haitiki, Nje ya hapo kaa chonjo, kupigwa shaba na kuvamiwa kawaida

    Yeah ni kweli kwa kiasi flani alichokiongea jamaa. Inategemea na kampani yako. Marafiki zangu wote wa kisauzi kuanzia Joburg hadi Durban walikuwa watu safi sana na ni wastaarabu kuzidi hata ustaarabu wenyewe. Hawakuwa na uhuni wowote na tulikuwa tunashirikiana mambo mengi ya muhimu. Ila kwa...
  3. konda msafi

    GE2025 Tukatae huu upotoshaji, CHADEMA hawakuweka mpira kwapani. Walitaka mabadiliko yenye manufaa kwa taifa

    Wanasiasa wanaudhi sana. Wenje analeta ngonjera za kitoto kabisa
  4. konda msafi

    Hamtaki mtoto aende kwa Baba ila matumizi mnataka hivi mmerogwa au shida nini?

    Washakuona boya. Hebu susa kutoa matumizi uone utakavyokuwa unatoa amri kama mfalme. Nakuhakikishia utakuwa unaletewa mtoto na utakuwa unakula mbunye ya mama ake bila hata kuomba
  5. konda msafi

    GE2025 Said Mohamed na wenzake wataka viongozi CHADEMA kukamatwa kwa kukiuka amri ya mahakama

    Hawa jamaa mbona kama ni mpango maalumu wa kuiangamiza chadema. Kwa hiyo hawa bado ni wanachama wa chadema?
  6. konda msafi

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Maswali yako yamekaa kinafiki sana. Unajua kabisa watu wanaandamania nini ila unaleta unafiki tu.
  7. konda msafi

    Salamu za Shukrani kwa Wanachama wa JamiiForums

    Hii ndio shilingi ngapi? 233,603.00/-
  8. konda msafi

    Nchi inaliwa sana, wanakula hela yako wanakunja vidole vyote wanaacha cha katikati kimesimama kuwatukana wananchi

    Wewe jamaa mala useme dola feki, mara useme chuki kwa matajiri, mbona kama unajipinga mwenyewe? Nakupa tu msaada wa bure ili usijipinge mwenyewe tena maana inaonekana hueleweki hata unachosimamia. Kapuku ndio anabeba dola feki, tajiri anabeba dola halali. Sasa rudia upya ulichokiandika na...
  9. konda msafi

    Nchi inaliwa sana, wanakula hela yako wanakunja vidole vyote wanaacha cha katikati kimesimama kuwatukana wananchi

    Wewe jamaa unaongea blah blah tu. …hizo dolari alizoshikilia huyo binti huzioni? Na kama unaziona zina uhusiano gani na hizi porojo zako?
  10. konda msafi

    Wabobezi wa Nyoka huyu ni Nyoka aina gani na ana Sifa zipi na je, ukitaka Kumuua unafanyeje?

    Una maanisha nini kusema risasi 13 hazikufua dafu? Buddy you are so dramatic!
  11. konda msafi

    Ntatumia gesi asilia kupowered smelter na refining kwenye mpango wa kukusanya mapato ya usd billion 500+

    Mkuu hii sijaisoma ila zingine nimezisoma, inaonekana upo serious kutukomboa
Back
Top Bottom