Recent content by konda msafi

  1. konda msafi

    Nilifanya mapenzi kinyume na maumbule 2016, mwaka huu imemfanya mchumba wangu kuniacha kabla ya ndoa!

    Wewe mpuuzi usituletee mastory ya kutunga ya Iddi Makengo ya Instagram hapa JF
  2. konda msafi

    Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

    Wewe hufai kuwa mke wa mtu. Unaweza kusababisha mauaji.
  3. konda msafi

    Ushauri: Nimepewa RB kwa kosa la kufanya fujo kanisani

    Wewe ndio soma kwa kutulia faller wewe. Jamaa kasema hapendelei watoto watumie maziwa ya kopo ila alilazimika kununua kwa sababu watoto walikuwa wanalia sana. By the way jamaa ana mke bogus. Mke wa namna hii ni stress sana.
  4. konda msafi

    Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

    Waziri mkuu wa Uingereza na RC nani mwenye ulinzi mkali? Sunak alipigwa faini kwa kutokuvaa mkanda.
  5. konda msafi

    Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

    Yaani kama mimi tu. Mie huwa hata sisubiri kukuche. Ni baada ya muda mchache tu naanza kumuomba gemu kama vile hakuna kilichotokea, na lazima agome kutoa gemu, hapo sasa ndio naanza kubembeleza yaishe na tusameheane. Mpaka kufikia asubuhi kila kitu kipo poa.
  6. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Kuachana hayo ni mengine sasa na ni nje ya mada.
  7. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Mchumba hakusoma Dar alipata chuo nyanda za juu kusini. Nilikuwa nasafiri at least mara mbili kwa mwaka kwenda kumcheki. Kipindi anasoma high school ndio tulikuwa wote maana alikuwa hapa hapa Dar. Hahahaha huyo pimbi wa chato umemjuaje mkuu? hahahah!
  8. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Inategemea mkuu. Sawa mambo ya wanawake ni mazito sana ila kwa huyu wa kwangu hakuna kitu kama hicho. Kwanza watoto wote ni kama nimejipiga copy.
  9. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Kwa nini mliachana? Nani alimuacha mwenzie? Kabla ya kukusomesha mlijuana kwa muda gani?
  10. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Kunjani mfethu? Godwa usiqwiza wakho nilimkuta bikra uwena how come ukhulume mambo ya DNA?
  11. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Kwani tafasiri ya mchumba ni nini?
  12. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Hakuwa mke wakati anasoma. Alikuwa ni mchumba tu. Nilikuwa sijamuoa wala kumtolea mahali. Nilikuwa nimemtolea barua tu, au tafasiri ya mchumba ni nini?
  13. konda msafi

    Mchumba anasomeshwa

    Mchumba anasomeshwa sana. Inategemea na bond mliyonayo. Mimi ni mfano unaoishi.
Back
Top Bottom