Wewe ndio soma kwa kutulia faller wewe. Jamaa kasema hapendelei watoto watumie maziwa ya kopo ila alilazimika kununua kwa sababu watoto walikuwa wanalia sana. By the way jamaa ana mke bogus. Mke wa namna hii ni stress sana.
Yaani kama mimi tu. Mie huwa hata sisubiri kukuche. Ni baada ya muda mchache tu naanza kumuomba gemu kama vile hakuna kilichotokea, na lazima agome kutoa gemu, hapo sasa ndio naanza kubembeleza yaishe na tusameheane. Mpaka kufikia asubuhi kila kitu kipo poa.
Mchumba hakusoma Dar alipata chuo nyanda za juu kusini. Nilikuwa nasafiri at least mara mbili kwa mwaka kwenda kumcheki. Kipindi anasoma high school ndio tulikuwa wote maana alikuwa hapa hapa Dar.
Hahahaha huyo pimbi wa chato umemjuaje mkuu? hahahah!
Hakuwa mke wakati anasoma. Alikuwa ni mchumba tu. Nilikuwa sijamuoa wala kumtolea mahali. Nilikuwa nimemtolea barua tu, au tafasiri ya mchumba ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.