sasa mnaumia nini sisi tukiabudu snamu????? sababu nyinyi mnajua kuliko hata akina nyerere wenye elimu kubwaaa na walisali roma mpka wanakufa ukute huna hata cheti cha la saba et umemshinda mtu mwenye masters kungamua jema na baya mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh
unategemea usome mstari mmoja uelewe dini yenye zaidi ya miaka 2000 ??? nyinyi ndo wale paper kesho leo mnataka msome vtini vya kuanzia siku ya kwanza na kusema mmeelewa
yaan watu kama huyu.... ukute form 4 failure ... elimu ya dini amefundishwa na wahuni wataka sadaaaka ambao wameunganisha mabati na matulu bai baada ya kugombani sadaka kanisa fulani anakuja kujimwambafai hapa anajua kila kitu..... ukiacha madhaifu ya kibinadamu hv unajua upadre unasomwa miaka...
kwanini umtishie mtu asie amini katika mungu kuwa na jihannam ilihali hyo jihnamu akuna alieithibisha????? wengi mna amini katka sababu ya hofu ya jihannamu akipatikana mtu hana iyo hofu inaonekana shetani
kwaiyo kwa lugha allah anamakusudi yake watu wengine wasiuelewi uislam ili awa adhibu vikali?????? kuna mda huo naona dini inazuia binadamu kuwa kwa kina ili hali tulishapewa hofu
Kama kichwa kinavyo jieleza natafuta pikipi aina ya boxer au tvs used muuzaji awe na documents na iwe in good condition....kwa mengi zaida njoo inbox ... ukiona umempa mtu boda azungushe na aleti marejesho bora utupe mabahari nasitukupe kijipesa upunguze machungu... bora nusu hasara kuliko...
Kabla ya yote tahadhari lazma ichukuliwe. Usije bet kwa pesa ya ada, mtaji wa biashara, au pesa uliotumwa ikirudi ni bahat sana coz unakuwa na presha ya selection of option. Kuna njia kazaa znaweza kukupa maslahi kiasi ktk bet.
1. Usirudi option ktk mikeka mingine kama wa bet mikeka mingi
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.