Recent content by kome

  1. K

    Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

    Siku likikukuta la kukuta ndio utafahamu umuhimu wao maana kawaida ya binadamu kama wewe huona umuhimu wa kitu pale anapokihitaji, na siku hiyo ndipo utakapotofautisha polisi na jambazi.
  2. K

    Mwanza mnajiaibisha, hamjielewi nini?

    Mleta mada bila shaka kuna jambo kubwa limekubana moyoni ni bora usubiri wakati wake ndio ulitoe, ni lini watu wote wa Mwanza walitamuka kwamba hawaitaki CCM, una ushahidi gani kwamba wote wamefurahia kuteuliwa kwa Magufuli?, kama suala ni umati wa watu wanaojitokeza kwani umati huo ndio kwanza...
  3. K

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Mimi nadhani hili ni tatizo zaidi ya ujambazi, jambazi hutafuta hela ni si kutafuta silaha watanzania tukiendelea kujadili mambo kirahisi namna hii tujue tunazidi kuchelewa kulikabili tatizo.
  4. K

    Ufafanuzi: Je, IGP anaweza mpigia saluti CDF wa JWTZ?

    Katiba ipi inazungumzia mambo hayo ya commissioned na ulinganifu huo unaotoa.
  5. K

    Ufafanuzi: Je, IGP anaweza mpigia saluti CDF wa JWTZ?

    Uongo mkubwa uliwahi kuona wapi polisi wanasindikiza misafara ya majeshi mengine? pia Mwamunyange ni mkuu wa Jeshi la ulinzi -TPDF, kila jeshi lina mkuu wake kwa mujibu wa sheria iliyounda taasisi hiyo, mkuu wa majeshi yote ni raisi na si vinginevyo.
  6. K

    Frequency za RFA Mpanda Katavi

    Kama ni redio zungusha tu tuning gauge utaipata.
  7. K

    Rais Kikwete awaaga shemeji zake rasmi, Mishahara ya walimu kuongezwa Agosti

    Wewe umekariri kwelikweli tena aliyekukaririsha alishakufa haoni mabadiliko yaliyopo nchini sasa, katika watumishi wa umma umekaririshwa kuwa watumishi wenye maisha magumu ni polisi na walimu pole sana.
  8. K

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Mh!!!!! Maskini mimi mtanzania nikisimama nchale nikikimbia nchale.
  9. K

    Nimefurahishwa na polisi wa Burundi

    Sehemu kubwa ya askari unaowaona ni watusi hawana la kufanya kwa sababu ni kazi ila mioyoni hawako tayari kutumia nguvu dhidi ya watusi wenzao ambao ndiyo wanaompinga Nkurunzinza.
Back
Top Bottom