Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Naomba tafsiri ya neno punguani na kulishabihisha na dhambi kubwa sana!
Nalielewa kama lilivyo, labda wapo wataokupa tafsiri yake.
Naomba tafsiri ya neno punguani na kulishabihisha na dhambi kubwa sana!
na suala la police kuua raia ni kila siku bado la kubambikia watu kesi
​Comment hii sijashangaa na ID name yako, Bongo ni zaidi ya uijuavyondugu ni kwamba polisi/magereza anaruhusiwa kumpiga mfungwa au mahabusu risasi kama atakimbia na hata kama utamlenga kichwani makusudi ni sawa bz utajitetea kua ulitaka umjeruhi tu, JAPO HUTAHOJIWA SANA NA WAKUBWA ZAKO.
ILA KAMA MFUNGWAAU MAHABUSU KAKUKIMBIA UNA HATARI YA KUFUKUZWA KAZI NA KUFUNGWA BADALA YAKE...
so bora umuue kuliko akukimbie na hata vitabu vyao vya mafunzo na sheria zinasema hvyo
we ndo mpumbafu,,,kuliko wote we ulitaka polisi wafe,,,nyang'au kabisa wewe
Wewe huhitaji kupata ban bali unahitaji kibano kwa maneno yako yasiyo yakistaarabu muulize ndugu yako wa FB alitoa maneno kama yako kuhusiana na majambazi ya stakishari akifikiri hawezi patikana saa hizi yuko kwenye kibano ana shindwa hata kujitetea kwa maneno yake ya kifedhuli. Wiseboy chunga ulimi wako utakuponza usifikiri huwezi kufikiwa usifikiri wote humu ni watumiaji wa kawaida Wa mitandao!!!
ww pasco ni MPUMBAVU, sasa kama wafungwa wanataka kutoroka mikononi mwa polisi au magereza na badae iwe lawama au polisi kufungwa au kufukuzwa kazi bora UWAFYATUE WAKAFIE MBALI,.,wewe na hao wanaokusapoti kwa MIHEMKO U KUWASHWA KAENI KIMYA hamjui sheria kua mfungwa anapokimbia au mahabusu anatakiwa afanywe nini na askari?
Wewe huhitaji kupata ban bali unahitaji kibano kwa maneno yako yasiyo yakistaarabu muulize ndugu yako wa FB alitoa maneno kama yako kuhusiana na majambazi ya stakishari akifikiri hawezi patikana saa hizi yuko kwenye kibano ana shindwa hata kujitetea kwa maneno yake ya kifedhuli. Wiseboy chunga ulimi wako utakuponza usifikiri huwezi kufikiwa usifikiri wote humu ni watumiaji wa kawaida Wa mitandao!!!
Wewe huhitaji kupata ban bali unahitaji kibano kwa maneno yako yasiyo yakistaarabu muulize ndugu yako wa FB alitoa maneno kama yako kuhusiana na majambazi ya stakishari akifikiri hawezi patikana saa hizi yuko kwenye kibano ana shindwa hata kujitetea kwa maneno yake ya kifedhuli. Wiseboy chunga ulimi wako utakuponza usifikiri huwezi kufikiwa usifikiri wote humu ni watumiaji wa kawaida Wa mitandao!!!