Tatizo Watu waliopewa mamlaka kwa ujumla wengi wao waliteuliwa wakati hawakuwahi kutoka kwenda nje Tanzania ila kwa sasa wamepata nafasi wajitahidi kutembea ili wajue tuko wapi kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilipigwa Picha na baada muda mpigapicha ananiambia kitambulisho changu kimetoka vibaya mara akatoa kingine nikamuuliza mbona vyote vinafanana hakuwa na majibu ya kunitosheleza.
Nikamuuliza hiki kingine unapeleka wapi akanijibu hivi vyote vilivyoharibika tunavipeleka tume nikamwomba...
Hili swala vyama inabidi vijuzwa hizo zinazoharibika ni ngapi ili kipindi cha kampeni vyama viwatangazie wale waliopiga Picha ya kitambulisho zaidi ya mara mbili wawandike ili kuja kulinganisha na idadi ya tume la sivyo haya mambo yanaleta wasiwasi sana kwa Watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Alishawaambia anaowangoza wachane na Siasa kwa wale walikuwa wanasema yy hatoshi ktk hiyo nafasi.
Siro anatosha kabisa hapo alipo panamfaa kabisa ila anatakiwa kuwaasa anaowangoza kujirudi ili kujiweka ktk misingi isiyoliingiza kwenye Itikadi ambazo sio sehemu ya kazi zao
Sent using Jamii...
technically, Mkuu alishasema kabla ya kauli ya Marekani yakuwa alitakiwa kuwa Padri na hii ukiingalia vizuri ina maana kubwa sana kwake na inambeba kuendana weledi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu katika kujiandikisha kwangu nimepigwa picha kwa baada ya muda mpigaji ananiambia kitambulisho changu kimetoka vibaya, nikamwomba kukiangalia - hakina shida, then akanitolea kingine kama hicho hicho.
Nikamuuliza muhusika hiki tambulisho unachosema kimeharika mbona vyote viko sawa...
Pole sana kwa mapito hapa Dunia ukitenda mema utapendwa kwa mema uliyoyatenda.
Kama hukutenda mema tegemea mavuno tuu mwanaccm mwenzangu na wema usiangaliwe kwa uchama kwani tukiangalia kiuchama tutazidi kuligawa Taifa kiitikadi zaidi.
Mrudie Mungu ili akuondolee hofu na kukupa Moyo uliotulia...
Hata Dr Slaa ,Zitto, Lawassa, Mkumbo, Waitari,Kaburu,Shibuda na wengine wangi walipotoka Chadema waliondoka na wangapi?
Sisi tusijisifu kwa Siasa za kukodi Siasa ni hoja na vitendo sio hizi zenye ukakasi ambazo zinatuacha sisi tuliokipigania chama kipindi tunaitwa majina yasiyostaha japokuwa...
Mku Mbowe hawezi kulaumiwa kwani ni mwandaji was vipaji ndo maana kila anayekuja kwetu Ccm anapokelewa kama Mfalme yaani wanaonekana ni Watu wenye hadhi zaidi ya wanaowapokea kwani angali sura za wapokeaji kama vile hawaamini ndani ya macho yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.