Recent content by Kombo Chini -TAPA

  1. K

    Mashine za Welding bei nafuu

    Mku hivi hakuna zenye Uwezo wa kuchomelea aluminum na chuma. Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

    Tatizo Watu waliopewa mamlaka kwa ujumla wengi wao waliteuliwa wakati hawakuwahi kutoka kwenda nje Tanzania ila kwa sasa wamepata nafasi wajitahidi kutembea ili wajue tuko wapi kiuchumi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

    Mku Port Beira ya Mozambiq na hapa Dar wapi mbali ndugu. Zambia hawapotezi ni kitu ila wanakuja Dar kwa mazoea tu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Tume ya Uchaguzi tunaomba ufafanuzi kwenye hili

    Mimi nilipigwa Picha na baada muda mpigapicha ananiambia kitambulisho changu kimetoka vibaya mara akatoa kingine nikamuuliza mbona vyote vinafanana hakuwa na majibu ya kunitosheleza. Nikamuuliza hiki kingine unapeleka wapi akanijibu hivi vyote vilivyoharibika tunavipeleka tume nikamwomba...
  5. K

    Maajabu kwenye kujiandikisha kitambulisho cha mpiga kura

    Mku wasiwasi ni akili Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Maajabu kwenye kujiandikisha kitambulisho cha mpiga kura

    Hili swala vyama inabidi vijuzwa hizo zinazoharibika ni ngapi ili kipindi cha kampeni vyama viwatangazie wale waliopiga Picha ya kitambulisho zaidi ya mara mbili wawandike ili kuja kulinganisha na idadi ya tume la sivyo haya mambo yanaleta wasiwasi sana kwa Watu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Nimemkumbuka sana IGP Sirro, yupo kimya toka tamko la Marekani juu ya Makonda. Kulikoni?

    Alishawaambia anaowangoza wachane na Siasa kwa wale walikuwa wanasema yy hatoshi ktk hiyo nafasi. Siro anatosha kabisa hapo alipo panamfaa kabisa ila anatakiwa kuwaasa anaowangoza kujirudi ili kujiweka ktk misingi isiyoliingiza kwenye Itikadi ambazo sio sehemu ya kazi zao Sent using Jamii...
  8. K

    Nimemkumbuka sana IGP Sirro, yupo kimya toka tamko la Marekani juu ya Makonda. Kulikoni?

    technically, Mkuu alishasema kabla ya kauli ya Marekani yakuwa alitakiwa kuwa Padri na hii ukiingalia vizuri ina maana kubwa sana kwake na inambeba kuendana weledi wake Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Maajabu kwenye kujiandikisha kitambulisho cha mpiga kura

    Ndugu zangu katika kujiandikisha kwangu nimepigwa picha kwa baada ya muda mpigaji ananiambia kitambulisho changu kimetoka vibaya, nikamwomba kukiangalia - hakina shida, then akanitolea kingine kama hicho hicho. Nikamuuliza muhusika hiki tambulisho unachosema kimeharika mbona vyote viko sawa...
  10. K

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Mkuu yule tesha wa Tindikali yupo siku nyingi sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Pole sana kwa mapito hapa Dunia ukitenda mema utapendwa kwa mema uliyoyatenda. Kama hukutenda mema tegemea mavuno tuu mwanaccm mwenzangu na wema usiangaliwe kwa uchama kwani tukiangalia kiuchama tutazidi kuligawa Taifa kiitikadi zaidi. Mrudie Mungu ili akuondolee hofu na kukupa Moyo uliotulia...
  12. K

    CHADEMA: Kuna wengine watamfuata Dkt. Mashinji

    Hata Dr Slaa ,Zitto, Lawassa, Mkumbo, Waitari,Kaburu,Shibuda na wengine wangi walipotoka Chadema waliondoka na wangapi? Sisi tusijisifu kwa Siasa za kukodi Siasa ni hoja na vitendo sio hizi zenye ukakasi ambazo zinatuacha sisi tuliokipigania chama kipindi tunaitwa majina yasiyostaha japokuwa...
  13. K

    Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

    Mku Mbowe hawezi kulaumiwa kwani ni mwandaji was vipaji ndo maana kila anayekuja kwetu Ccm anapokelewa kama Mfalme yaani wanaonekana ni Watu wenye hadhi zaidi ya wanaowapokea kwani angali sura za wapokeaji kama vile hawaamini ndani ya macho yao. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom