Alisema malipo ya watu wa ukonga kipunguni. Wanaodai fidia ya malipo ya makazi yao. Kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege watalipwa ndani ya mwezi mmoja lakini mpaka Sasa hakina chochote kilicho fanyika watu wanaishi Kwa taabu Sana na kushindwa kufanya maendeleo yoyote.
Mheshimiwa Rais wasaidie...
Wananchi wa kipunguni ukonga wapo ktk Ari mbaya Sana. Nahuku waziri wa fedha akiaidi bungeni mara Kwa mara kuwalipa lakini hatekelezi haadi yake. Muda unazidi kwenda wananchi wanateseka. Sasa mheshimiwa Rai's mama Samia wasaidie wananchi wako. Maana watu ulio wapa nafasi wamekua wahongo Sana. ...
Wananchi wa Kipunguni sasa hivi wanasubiri malipo tu. Kama tathimini ilisha fanywa pia mbunge wa Segerea Mhe. Bona alitoa taarifa na kushukuru na kuomba Serikali iwalipe haraka kwakua zoezi limekamilika.
Pia soma > Wakazi wa kipunguni dar salaam ambao tuliteseka Zaid ya miaka 20 mwaka huu...
Kumbe hata hayati j.pm alikataa kujengwa bandari bagamoyo. Kutokana na mashariki mabovu ya mikataba. Na wakati huu mama Samia alikua makamo wake kwahiyo Hilo sio geni kwake. Ila wameamua Tu makusudi Kwa masilai ya wachache. Kusamehe hada ya vyuo nikitu kidogo. Ila kuchezea Nchi atukubari kuna...
Katika Nchi zilizoendelea wizara ya kazi ni wizara muhimu Sana. Kwasababu inatakiwa kusimamia haki za wafanyakazi katika sekta zote. Ili hao wanaofanya kazi waweze kulipa kodi Kwa kila kazi ambayo anaifanya. Sasa ktk sekta binafisi watu wanalipwa mkononi pesa za ujira ya siku au Kwa wiki hata...
KIPUNGUNI (A) na Kipunguni mashariki ambayo unaingilia Banana tumepakana na uwanja wa ndege. Tuna mgogoro miaka 22 Sasa . Mwaka huu wametufanyia tathimini lakini SERIKALI hawasemi ukweli wanatulipa lini Yaani hii SERIKALI yetu haiwajali wananchi wake kabisa
Mbunge Bonah Kamoli tunaomba ufafanuzi juu ya suala la bomoa Bomoa Kipunguni, ikiwezekana kikao itakuwa vyema zaidi, maana hakueleweki maana tunasikia ni mwezi wa nane mara mwezi wa Saba. Unafahamu fika juu ya adha inayo tukabiri wakazi wa Kipunguni.
Tunaomba kujuzwa. Tunajua unatupambania...
Mheshimiwa Rais mama yetu mpendwa. Wakazi wa Kipunguni Dar salaam ambao tuliteseka Zaid ya miaka 20 mwaka huu tumefanyiwa tathimini ya majengo na ardhi. Tunasubiri malipo.
Lakini tunaona siasa zimeanza maana mpaka Sasa bado hatujajua lini tutalipwa. Ingawa mmbunge wetu Segerea Bona Kimori...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.