Recent content by komba erastho

  1. K

    JK amemsimamisha Jairo kupisha uchunguzi wa Bunge - PINDA

    jamani kweli jk umeshindwa uchagua watu makini wa kukusidia kazi kati ya watu zaidi ya arobaini waliopo nchini. Hivi huoni nchi yetu imegeuzwa shamba la bibi? kila mtu anatenda na kusema atakalo bila kujali protokali.je hali hii wanajf naomba tujadili mfumo huu una2peeka wapi?je tutafika?Kama...
  2. K

    JK amemsimamisha Jairo kupisha uchunguzi wa Bunge - PINDA

    kwa kweli nchi yetu inakwenda pabaya manake hizi salakasi za akina Luhanjo na Jk zinakatisha tamaa.Ningekuwa na uwezo kubadilisha utaifa ningefanya hivyo.Nahisi kuna kitu cha ajabu kitatokea katika utawala wa jk ambacho ckupenda kushuhudia.Je inawezekana kauli ya katibu kiongozi aliitoa bila...
  3. K

    Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Igunga

    Kamati kuu ya chama cha chadema kuweni makini na mamluki wa chama tawala,Kumbuka ktk msafara wa mamba na kenge wapo.
  4. K

    How to use JamiiForums effectively

    hivi mfanyabishara wa mafuta anapata wapi jeuri ya kuipa serikali 24? halafu hamna kauli yoyote iliyotolewa na serikali dhidi mtu huyu,usalama wa nchi unafanya kazi gani? je serikali inaogopa kujibu kauli hii? kwanini? Kuna nini kati ya serikali ya ccm na mfanyabishara huyu,naomba mnisaidie...
  5. K

    How to use JamiiForums effectively

    jamani habari za generali shimbo zimeishia wapi?
Back
Top Bottom