Recent content by Kolomije wa Dar

  1. Kolomije wa Dar

    Kusitishwa Mradi wa Bagamoyo SEZ kumedhihirisha udhaifu wa Rais Magufuli kwenye Uchumi na Diplomasia

    Kama huu mradi ungekuwa unafanyika kule kijijini kwetu Chatu nina imani ungefanyika. Ila kwakuwa ulipangwa ufanyike kijijini kwenu Kifutu, wacha tu usitishwe.
  2. Kolomije wa Dar

    Aggrey Mwanri: Mungu amshukuru Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayofanya

    Kweli mahaba niuwe..... Mzungumzaji ajasema kuwa amekosea kuzungumza alafu mpambe unataka kutuambia nini. Mwenzako ndivyo ameshaamua kumpa jiwe hadhi ya juu kuliko muumba
  3. Kolomije wa Dar

    Iran:Wanajeshi wa Marekani waondoke Iraq haraka iwezekanavyo

    Pale swala anapomtetea punda milia asiliwe na simba
  4. Kolomije wa Dar

    Ndugai: Tumeshamlipa Tundu Lissu

    Usikute Huyu multimedia speaker system alikuwa anakula mshahara wa Lissu huku kwenye hesabu akijumlisha kuwa kamlipa Lissu. Sasa CAG kakagua na kagundua na huenda kaiorozesha kwenye ripoti na ndio maana jamaa kagoma kufanya Kazi nae.
  5. Kolomije wa Dar

    Ndugai: Tumeshamlipa Tundu Lissu

    Usikute alikuwa anakula mshahara wa Lissu na CAG kaliona hilo na ndio maana amegoma kufanya Kazi nae
  6. Kolomije wa Dar

    Barua kwako Spika Job Ndugai

    Mimi bado nasubiri kusoma comments za Lissu, maana naona waleta mada wote wanaogopa kumtaja starling wa hii move wakati wanamjua. Acheni kuuzunguka ukweli na kuzitupa lawama kwa Spika wakati mbeba lawama anafahamika. NB: Ata mimi naogopa kumtaja hivyo msiniulize
  7. Kolomije wa Dar

    ATCL kupeleka ndege Afrika Kusini pamoja na Airhostess walikuwa sahihi, tusichukulie kila jambo ni "ufisadi"

    Mkuu #Barafu tafazali toa somo pia juu ya Kampuni ya Airbus kutuuzia ndege alafu kuja kuikodisha tena kwa ajili ya maonyesho. Hii imekaaje, au walituuzia latest kimakosa na hawana nyingine kama hiyo?
  8. Kolomije wa Dar

    Tundu Lissu kuanza ziara Ujerumani mwezi Aprili

    Mimi binafsi ni muumini wa siasa za vyama vya upinzani. Ila sisi upinzani tuna maneno sana
  9. Kolomije wa Dar

    Insha Maridadi 1: Farasi wa Magufuli Wamegoma Kunywa Maji...

    Hivi huyu bwana # ....... Bado atakuwa uraiyani kweli!? Sababu ametumia a real ID na aliyoyaandika Magu & kitengo wameyaona
  10. Kolomije wa Dar

    Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza kukagua ndege

    Hizi drama sijui zitaisha lini. Mkulu alikuwa anaziara ya kuja uwanjani kuangalia forker50 inaendelea VP, sasa ili kupata Kik ikabidi story itengenezwe bila wao wenyewe kujipanga. Na hii ndio maana unisikia M5 sijui M7
Back
Top Bottom