dogo kwa sasa chuo cha kusoma ni UDOM sasa nashangaa kwanini hujafanya uamuzi sahihi mpaka sasa,usibabaike na mji njoo UDOM upate elimu iliyo bora fanya uamuzi haraka sana.sitanii najali sana future yako
kaka wizara yako haina wataalamu, kitendo cha kusema watoto washedi jibu sahihi ni kusababisha watoto kufaulu bila kujua kusoma na kuandika. sasa huo mtihani wanini kama NECTA wmeshindwa kazi kwanini wawaletee huo mzigo? ooo Tanzania ipo siku tutabadili lugha ili tuelewane maana watoto wao...
Hata kikiwa cha kwanza duniani haitokusaidia mtaani,soma dogo acha kusifu kinywaji kwa uzuri wa chupa.utapoteza pale utakapojikuta unafanyiwa interview na mwanafunzi aliyesoma chuo cha mwisho duniani
Acha kuandika uongo kwenye mtandao, wewe ulipewa boom ukanunua subwoofer sasa unataka nini? Fanya uamuzi kama huna pesa omba kwa rafiki acha kudeka na visingizio
Yaani ninyi watu nashindwa kuwaelewa: tueleze baada ya kusoma umelifanyia nini Taifa lako sio kusema ulipata A sasa sisi tufanye nn na A yako? Kumbuka hata mawakili wengi wa serikali hii wamesoma UDSM na kila siku MCH Mtikila anawagalagaza mahakamani. Kama unakichwa kibovu hata usome Oxford au...
Kweli UDOM ipo juu, yaani kila mtu anataka kujua habari za UDOM sikiliza dogo acha kufuatilia maisha ya watu kama una shida ya pesa sema sio kumlalamikia andunje kila mara. Tena jaribu kuandika kwa makini ili watu waelewe andunje hana kosa. Soma organization behavior utaelewa tabia mbalimbali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.