MASWALI MAGUMU KWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASA
Kwako mh. Edward Lowassa,
Ni matumaini yetu kuwa u mzima wa afya. Kuelekea mchakato wa Urais mwaka huu tumesikia kuwa nawe baba utatangaza nia. Sisi wananchi wa mtaani tunayo maswali machache tunaomba utusaidie tupate kujua wakati utakapotangaza nia...
Wakati viongozi na wafuasi wa CCM wakiwa wanaomboleza kifo cha Kapteni John Komba, na wengine wakiwa kwenye mazishi huko Mbinga, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa mh Bernard Membe ametumia muda huo kufanya kufuru ya pesa visiwani...
Kauli aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete katika uwanja wa Majimaji mjini Songea kuwa "CCM inao watu wengi wasafi..." inatafsiriwa kuwa ni msumari wa mwisho kwenye kaburi la makada 6 wa chama hicho tawala katika mbio za Urais nchini. Makada hao ambao wanatumikia adhabu waliyopewa kwa kukiuka maadili...
Makamu mwenyekiti wa CCM Philip Mangula amesema genge lote lililoshiriki kugawa rushwa Unguja na Pemba kwa wajumbe wa NEC na mkutano mkuu wa CCM hatua kali za kimaadili zinachukuliwa.
"CCM haitamshindwa mtu mmoja anayekivuruga chama..."alisema Mangula.
Wakati huo huo askofu mkuu wa Kanisa...
Naomba kuwauliza CCM kuipitia kamati ndogo ya maadili inayoongozwa na mzee Mangula, haya yanayofanywa na Lowassa na Genge lake ya kumwaga mamilioni huko Unguja, Pemba na Tanzania bara kwa wajumbe wa NEC na mkutano mkuu hamyajui au mmeyabariki?
Naomba kuiuliza idara yetu nyeti ya Usalama wa...
Katika hali ya kushangaza, naibu waziri wa Sayansi na Teknolojia January Makamba amewaandalia chakula cha jioni wasanii wa Bongo Movie leo jumatatu usiku Serena Hotel, imefahamika. Mualiko huo unaoratibiwa kwa karibu na msanii JB, unatarajiwa kuambatana na maombi ya bwana Makamba kwa wasanii...
Rais Dr . Jakaya Kikwete ameendelea kumuamini Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumuwakilisha katika mikutano na kazi mbalimbali nje ya nchi ambazo nyingine alipaswa kwenda Rais mwenyewe. Wiki chache zilizopita Pinda alikua na ziara ndefu ya Uingereza, Poland na Dubai. Akiwa Poland waziri mkuu...
Nakubaliana nawe kuwa Pinda ni waziri mkuu, lakini sikubaliani nawe kuwa wasomi wale ni washamba na walichofuata kwa Pinda ni uwaziri mkuu wake. Hilo laweza kuwa jibu jepesi sana
Tatizo kubwa humu ni nini, mnakataa kuwa Pinda hakugombewa na wasomi wa vyuo au mnatamani watu mnaowataka nyinyi ndio wangewavutia wasomi,? Fact ni fact jamani, tuache chuki za kijinga.Kama mtu wako unayempenda hakuwavutia watu basi tulia tu, mshauri ajiweke karibu na watu. Mbona Mwigulu Nchemba...
Katika hafla ya maadhimisho ya miaka 53 ya uhuru Ikulu leo, wanafunzi wa vyuo vikuu wakiwemo viongozi wa serikali za wanafunzi wamewapa taabu kubwa walinzi wa waziri Mkuu Mizengo Pinda baada ya kumgombania wamsalimie na kupiga nae picha. Wanavyuo hao walimzunguka waziri mkuu na kumuweka katikati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.