Recent content by Kohava

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

    Wanabodi nimepatwa na kigugumizi kidogo nilipoona mahojiano kati ya mwandishi wa Global Publishers akiwa msibani nyumbani kwa marehemu Spika Mstaafu NDUGAI huko Dodoma akihojiana na mke wa NDUGAI aliyejitambulisha anaitwa Stella Mmassy aliyesema walioana mwaka 1988 huku akidai ndoa Yao ni ya mke...
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nape aongoza kwa kishindo Mtama

    Hatimaye Nape kawasha Moto huko Mtama katika kata 19 kati ya 20 matokeo ni haya 1. Nape kura 3,160 2. Nahonyo kura 1,545 3. Chilumba 824 4. Jemadari Saidi 358
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Arsenal Leo anapata ushindi wa goli 2, weka mpunga wa kutosha, utanishukuru
  4. K

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO!!! TANESCO!!! Mmekuwa kero kila siku ifikapo saa 2 usiku, umeme imekuwa ni bidhaa adimu huku Mbagala Majimatitu A kukatika pasipo kuwa na taarifa. Jana umeme umekatwa saa 4 na nusu usiku Hadi muda huu wa saa 6 na nusu usiku umeme haujawashwa. Uongozi wa TANESCO uwe na weledi wa kujali...
  5. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 RC Mara aagiza kusakwa kwa Mbunge wa Mwibara, adai ni mtoro hajawahi kumuona

    Nafasi inafaa arudishwe Kangi Lugola, mtetezi wa wananchi wa Mwibara
  6. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Angelina Mabula atuhumiwa kutengeneza mpasuko CCM, ubadhirifu watajwa

    Yao tuwaachie, tupambane na yetu
  7. K

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Imekuwa ni kawaida kila siku kuanzia saa moja usiku, umeme Huwa unakatwa eneo la Maji Matitu, TANESCO kuweni wawazi mtupe maelezo kwa Nini kila siku tatizo husika linatokea?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Upo sawa
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bahati mbaya kwangu huu mkeka sikuupata, HONGERA UMEUPATIA 100% UMETOA
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betting kiboko hii imeshindwa kutoa, Milan na Benfica mechi husika hazikutoa 1.5
  11. K

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    NJIA ya Mbagala itaanza kutumika oni kwa mabasi ya mwendo Kasi kwani imekuwa ni matamko tu ya wanasiasa ya CHAMA tawala pasipo utekelezaji
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hakuna mechi za uhakika, huu ni mchezo wa kubahatisha. Hatahivyo Bayern Win, PSG Win, ManCity vs Chelsea 1.5, Leverkusen 1.5, Napoli 1.5, Galatasaray Win, PSV Win, Benfica Win/Draw, Celtic Win, Arsenal 1.5, Liverpool Win na RMadrid Win
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Usiku mkubwa pamoja na kupata red card, Madrid anashinda
  14. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wapiga Kura 1200 Wote Wana Njaa ya kufa Mtu huyo Tundu Lissu anashindaje?

    Kutompa kura MBOWE ni kuhalalisha kifo Cha chama chetu pendwa, HATUPO TAYARI KUMPOTEZA MBOWE, huyo Lissu wenu arejee kwao Ubelgiji, atuachie Bongo yetu na Kamanda Mbowe anatosha
  15. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wapiga Kura 1200 Wote Wana Njaa ya kufa Mtu huyo Tundu Lissu anashindaje?

    Hatukwazwi na propaganda zenu nyie CCM, Sisi na MBOWE hatunaga mbadala
Back
Top Bottom