Me nadhani kuna tatizo sehemu Fulani, kwa watu ambao hawana dhamana kulisemea ni kazi bure.
Labda tuulize ikiwa wewe ni mmoja wa wanakamati ya ulinzi Na usalama unaruhusiwa kuvaa sare za chombo cha ulinzi Na usalama?
Je mkuu wa police hajaliona hili?
Je waziri lugola hajaliona Wala...
Wajitahid kwa uwezo WAO wote,
Pia wajaribu pia kuwatumia wazee wetu wazoefu akina CHENGE.
Kama ikifaa hata wanasheria bnafsi, upinzani Na wenye utaalamu wawashirikiane,
Tuangalie namna sio lazima tupate yote at least tupunguze mimi nitachangia kwa chochote mwenye nacho tuangalie utaratibu.
Angalizo langu atakaye organize asililete kisiasa, naamini tunaweza pata kiasi cha kupunguza maumivu Na serikali ikajazia .
Ni fikra zangu tu, TUKISUBIRI HURUMA TUNAPATA...
Daaaaah SA ni ndugu zetu, Kama kuna tatizo lolote la kimkataba wangelisema tu, but naiomba serikali ilifanyie suala hili kazi kwa haraka kwa juhud ili tuweze kutoa huduma,
Sijuw nikuambie nn, ina maana ss ndege zetu haziwezi kuharibika? Sembuse ETHIOPIA wanapaki mandege yao ije kuwa sis wenye ndege chache?
Kwani kuna aliyetak kusafiri akakosa ndege? Fikiri sio kujiandikia tu,
Haka kajamaa ni kaizi sana. Kimesahau Kama kilikuwa mwenyekiti aiseeee, mbumbumbu kabisa, alafu anadhani hatuna data zake za upigaji,
SISI SIO MASEMBO WEWE JAMAA. SIKU NIKUTANE NAWE KWENYE MKUTANO NA KIONGOZI MKUU YUPO WALAHI UKICHOMOKA MORISI MM NAJIKANA URAIA WANGU, KOMINYO NGAABA KORINA LYA...
Kuna diwani mmemtaja hapa, MORISI MAKOI akae kimya kabisa ,huyu jamaa ni mwizi, amesahau kuwa waliuza mfereji kwa mzungu wa Vaso agrovanture? Wakatafuta wazee wetu wasiojuwa kusoma Na kuandika wakawanunulia mbege Na nyama mwisho wakaufukia mfereji uliokuwa unasaidia DAKAU nzima.
Nawakumbusha MH...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.