Pamoja na umakini wowote Kariakoo unakabidhiwa simu ulonunua mwenyewe kumbe unaondoka na kipande cha sabuni. Sembuse mawakala wachumia tumbo na vijimambo vingine? Utajua ulikua haujui
Mkuu, naulizax3, umeuelewa uzi? In short, 'karma is real, changanya na za kwako, maandiko na kama historia zilivyo, kujirudia ni kama kawa. Hayo ya subhana wa-taala yamo humo pia. Mtume Paul alishakua Sauli! Nyongeza yangu, usishangae kishamba pale unapokutana na ngedere katikati ya jiji, tena...
Luka- kumbuka hata ndani ya familia zetu kwamba 'tofauti za kimitazamo zipo'. Simba, Man U, Liva, Yanga et al kishabiki. Ushabiki wa kiasiasa upo au ni marufuku? Issue ya Gaza na historia ya huko kama waijua na kabla ya hapo, inahusisha pia umwagaji wa damu na ukatili usioelezeka na historia...
Pamoja na kuheshimu uhuru wa mawazo ya kila mtu ingependeza pia kuongezea kwamba watakuwepo wengine pia ambao watatosha kwenye hitaji la uongozi bora na siasa safi kwenye kinyanganyiro. Ila kama Tanzania itageuzwa kuendeshwa na 'consitutional monarchy' basi 'urisi nji hii' ki-uongozi (bananas!)...
Pia, Tanzania Civil Aviation Authority - TCAA na kwa hapo Tanzania ikiwa ndo jina la Jamhuri ya Muungano wa nchi mbili sio? Kama Zanzibar Civil Aviation Authority ipo, ile ya upande mwingine ni ipi?
Huku Tanganyika - Shirika la Ndege la Taifa - SNT PLC kwa upya kabisa kama Brand mpya linunue...
Ila pamoja na yote haya, WATANZANIA tubaki wamoja. Asiyeona na amwambie asiye sikia TAZAMA. Anaesikia anaweza mwambia anaeona, TAZAMA ambapo wote kwa pamoja watashuhudia MWISHO wa aibu ukoje siku ile ifikapo.
Mjomba P-
unajua fika kwamba KANISA ni waumini, watu! Wanaweza kukusanyika pia chini ya Mbuyu. Kufungwa kwa jengo sawa na kuniyimwa sehemu maalumu ya kufanyia IBADA ibaki hivyo. Kanisa linaishi.
Katika historia ndefu ya 'Kanisa' yapo pia makandokando yale ya 'Inquisition' yaliosheni ukatili...
Vichwa vipo tele nchi hii! Kinyago tukichonge sisi (tulioajiri) halafu tukiogope! Suali linakuja hivi ni nani yuko nyuma yao hao tuliowaajiri? Uangalifu hakuna kwenye umuhimu wa 'ethnic origins'??? Si hatakule majuu US wengine walishaanza kujiuliza hivi yule BWEGE MWAMBA ni 'kirusi'?:oops:
Tofautisha KATI ya chama cha siasa, yaani watu wale walounganishwa kwa katiba yao na BAADHI ya watu waliomo humo wenye mitumbo mikubwa kuliko akili zao ambao hawawezi kua wakubwa kuliko CHAMA. Sasa CHAMA cha siasa kina tofauti gani na vingine vinavyojiita 'vyama vya Siasa' katika mikakati...
Mkuu Lancs:
Nanukuu busra za JKN, Baba wa Taifa kuhusu UONGOZI kwa ujumla yake kama ifatavyo:
Mwalimu Julius Nyerere alisisitiza sana umuhimu wa kuheshimu Katiba kama msingi wa uongozi wa nchi. Aliona Katiba kama chombo cha kuhakikisha haki, demokrasia, na utawala wa sheria. Katika hotuba...
Mkulima wa kahawa mie nabaki kwenye mstari ule kwamba TZ ni yetu sote na kutoka nje kidogo kwamba 'checks and balances' zitokanazo na vyama visivyounda serikali iliyo madarakani ni kwa manufaa ya ujumla kwa WWAJIRI, watu wa nchi hii, yaani WANANCHI. Hitaji la siasa safi kwenye mazingira ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.