Usipotoshe kuhusiana na Kilimanjaro, hilo ni neno la kichaga likimaanisha kilimakirefu. Limetokana na neno halisi la kichaga 'kilimakyaro' hivyo wazungu walishindwa kutamka vema na kuita kilimanjaro kwa kuli document
Ni kweli kaka kuna haja ya kuondoa uzungunization katika elimu yetu ili tupate uhalisi wa mali asili zetu. Lakini nadhani jitihada hazijafanyika vya kutosha kuhamasisha utalii kutoka nje na ndani pia, hata uliopo unawanufaisha wachache tu
Bonde la Olduvai ni sehemu maarufu sana hapa Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla. Umaarufu wa bonde hili unatokana na historia yake iliyotukuka kwani ndipo mahali ambapo fuvu la binadamu wa kale kabisa kuwahi kuishi duniani liligundulika na Dr Louis pamoja na mkewe Mary Leakey. Bonde hili...
Inawezekana pia kutokana na kwamba babu zetu waliitumia milima kama sehemu za ibada pia lakini kwa maana ya Kilimanjaro, ndiyo hiyo iliyoelezwa hapo juu
Kilimanjaro ni neno maarufu sana miongoni mwa wakaazi wa Afrika na duniani kote. Umaarufu wa jina hili umetokana na Mlima mrefu uliosimama pekee unaoitwa Mlima Kilimanjaro, upatikanao kaskazini mwa Tanzania.
Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka ng'ambo ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.