AlHmduLILLAHI.
Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Mlezi. Amponye na aweze kurudi nyumbani akiwa anaweza kutembea. Aamiyn
Mheshimiwa Mpendwa Rais Kipenzi wa WaTanzania Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Mlezi Akujaalie Afya njema, Ne'ema tele na kila la Khaiyri. Akulinde na mahasidi na mafisadi. Aamiyn
LAKINI, HISTORY ITATUPELEKA MBALI. TUNATAKA KWELI KUJUA WAMEENDA WAPI WALIOKUA WATAALAM WETU WA KABLA YA MJERUMANI?!?
SOMETIMES THE TRUTH IS ...
THE TRUTH IS NEVER A LIE.
<br />HAPA NAONA BORA TUKACHUNGUZE HISTORIA KABLA YA GERMAN EAST AFRICA, YAANI KABLA YA "TANGA-NYIKA" ILIYO UNDWA NA MJERUMANI.<br />TANGA = BAHARI .. SAIL<br /> NYIKA = MBUGA .. WILDERNESS<br /><br />TULIKUA NA WATU WENYE ELIMU ZA HALI YA JUU. <br />WATU WENYE UJASIRI WAKUMONDOA MJERUMANI VITA...
HAPA NAONA BORA TUKACHUNGUZE HISTORIA KABLA YA GERMAN EAST AFRICA, YAANI KABLA YA "TANGA-NYIKA" ILIYO UNDWA NA MJERUMANI.
TANGA = BAHARI .. SAIL
NYIKA = MBUGA .. WILDERNESS
TULIKUA NA WATU WENYE ELIMU ZA HALI YA JUU.
WATU WENYE UJASIRI WAKUMONDOA MJERUMANI VITA VYA MAJI MAJI..
KABLA YA HAPO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.