Recent content by KL COMP

  1. K

    Rais Magufuli yapige marufuku makampuni ya ndege binafisi safari za ndani!!

    ulimwengu waleo kibiashara ni soko huria nandio linaleta mafanikio na maendeleo kwaharaka. kwa sasa Rais ashaonyesha mwanga. ATCL imepata kwa kuaanzia sikuzote biashara nzuri hufuatwa na watu. sasa kinachotakiwa hapa kulinagana na uchache wa ndege zetu kwajinsi soko lilivyo na ndio tunaanza...
  2. K

    Naomba kushauriwa: Nimepoteza mapenzi kwa msichana wangu

    bro usijaribu kuliza mwanamke yamenikuta nimejipalia kaa la moto rudi badilika maana ulimpenda so why uliwezadumu 4yrs tel him know utakuwatayari lini kama akionanimuda mrefu let her free but kupata mwanamke wa kuonyesha heshima hivyo ningum sana bahati huja maramoja tu next nikujuta.
  3. K

    Rwanda leo wameingiza mzingo wa Airbuss A330-200! Si mchezo

    mimi nadhani tusibeze letu kwakua kweli ATCL ilipo kuwa ni ICU ila kama wataweka nidhamu na utendaji mzuri mapematu tutawezakuwa nahizo A332 We can frds tukumbuke maendeleo yanataka usimamizi mzuri na nidhamu yahaliyajuu wezetu wameanza mbali wadau.
  4. K

    Edward Lowassa na Godbless Lema wawasili Bukoba kuwafariji wahanga wa tetemeko

    kwa hilo nawapongeza msaada wa kila mtanzania unahitajika na hii inaonyesha umoja wetu. asante mzee
  5. K

    Fao la uzazi la PSPF

    kweli ila nawasifu sana GEPF asee wanamafao ya kweli na wanalipa fasta na washukuru wamemlipa wf na mm washanipa fao la elimu sijutii kabisa asee
Back
Top Bottom